lebanon

Lebanon ( (listen), Arabic: لُبْنَان‎ lubnān, Lebanese Arabic pronunciation: [lɪbˈneːn]), officially known as the Lebanese Republic, is an Arabic speaking country in the Middle-East, located in Western Asia. It is bordered by Syria to the north and east and Israel to the south, while Cyprus lies just west of it across the Mediterranean Sea. Lebanon's location at the crossroads of the Mediterranean Basin and the Arabian hinterland has contributed to its rich history and shaped a cultural identity of religious diversity. Lebanon is home to roughly 6 million people and covers a territory of just 10,452 km2 (4,036 mi2), making it among the smallest countries in Asia by land area. Arabic speakers comprise the majority of the country's population, while Arabic is the official language, and spoken Lebanese Arabic is used alongside Modern Standard Arabic in daily life.
The earliest evidence of civilization in Lebanon dates back over seven thousand years, predating recorded history. Lebanon was home to the Phoenicians, a maritime culture that flourished for almost three thousand years (c. 3200–539 BC). In 64 BC, the Roman Empire conquered the region, and it eventually became among the empire's leading centers of Christianity. The Mount Lebanon range saw the emergence of a monastic tradition known as the Maronite Church. As the Arab Muslims conquered the region, the Maronites held onto their religion and identity. However, a new religious group, the Druze, established themselves in Mount Lebanon as well, generating a religious divide that has lasted for centuries. During the Crusades, the Maronites re-established contact with the Roman Catholic Church and asserted their communion with Rome.
Lebanon was conquered by the Ottomans in the 16th century and remained under their rule for the next 400 years. Following the empire's collapse after World War I, the five provinces constituting modern Lebanon came under the French Mandate. Upon independence in 1943, Lebanon established a unique confessionalist form of government, with the major religious sects apportioned specific political powers. Lebanon initially enjoyed political and economic stability, which was shattered by the bloody Lebanese Civil War (1975–1990) between various political and sectarian factions. The war partially led to military occupations by Syria (1975 to 2005) and Israel (1985 to 2000).
Despite Lebanon's small size, Lebanese culture is renowned both in the Arab world and globally, powered by its large and influential diaspora. Prior to the civil war, the country enjoyed a diversified economy that included tourism, agriculture, commerce, and banking. Its financial power and stability through the 1950s and 1960s earned Lebanon the name of "Switzerland of the East", while its capital, Beirut, attracted so many tourists that it was known as "the Paris of the Middle East". Since the end of the war, there have been extensive efforts to revive the economy and rebuild national infrastructure. While still recovering from the political and economic effects of the conflict, Lebanon remains a cosmopolitan and developing country, with among the highest levels of Human Development Index and GDP per capita in the Arab world outside of the oil-rich economies of the Persian Gulf.Lebanon was a founding member of the United Nations in 1945 and is a member of the Arab League (1945), the Non-Aligned Movement (1961), Organisation of the Islamic Cooperation (1969), and the Organisation internationale de la francophonie (1973).

View More On Wikipedia.org
  1. Webabu

    Lebanon haitakuwa salama kwa mdomo pekee,bila kuwaachia Hzbullah na Hamas kuifanyizia Israel kama vile wanavyofanya Houth

    Lebanon imehamanika kutekeleza makubaliano ya kusitisha vita na bado kila siku inapigwa katika ya Beirut. Kama kweli wanakerwa na mashambulio hayo basi serikali ya nchi hiyo haina budi iache kuwafutata futata Hizbulllah na Hamas ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakipambana na jeshi la Israel baada...
  2. I

    Lebanon yaionya Hamas dhidi ya mashambulizi yanayotishia usalama wa taifa

    Lebanon yaionya Hamas dhidi ya mashambulizi yanayotishia usalama wa taifa. Chombo cha juu cha usalama cha Lebanon kimeonya kundi la Palestina la Hamas dhidi ya kutumia eneo la nchi hiyo kwa vitendo vinavyoweza kudhoofisha usalama wa taifa, baada ya ufyatuaji wa roketi kuelekea Israel na...
  3. Echolima1

    China yahofiwa kujiingiza kwenye Mgogoro huko Lebanon

    Tukio lisilo la kawaida limetokea leo huko Beirut, Lebanon, wakati ndege ya usafirishaji ya jeshi la China - Xi'an Y-20A mali ya Jeshi la Anga la People's Liberation Army (PLAAF) - ilitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Rafic Hariri. Ndege hiyo ilikuwa imewasili kutoka Abu Dhabi, ambako...
  4. Echolima1

    Mbunge wa Lebanon: Hezbollah wekeni silaha zenu chini au muondoke Lebanon

    Mbunge wa Lebanon kwa Hezbollah: Toa silaha zako au utuache na uende kuanzisha nchi yako Biar Abu Aassi, Mbunge wa Lebanon kutoka chama cha Vikosi vya Lebanon: "Tunasisitiza kwamba Hezbollah lazima ikabidhi silaha zake ndani ya miezi sita. Tunataka kujenga dola. Ikiwa hawataki kukabidhi...
  5. Echolima1

    Bunge la Lebanon lasema Hezbollah wameshindwa vita wajisalimishe!!

    HII NI YA KUVUTIA 🔴 Mbunge wa Lebanon Walid Baarini anasema haungi mkono tena Hezbollah, alisema Hezbollah imeshindwa katika vita hivyo inapaswa kuweka silaha zake chini. Aliongeza kuwa kujenga uhusiano na Israel kunaweza kusaidia kutatua matatizo ya Lebanon.
  6. I

    IDF yamuua gaidi mkuu wa Jama'a Islamiya nchini Lebanon

    IDF yamuua gaidi mkuu wa Jama'a Islamiya nchini Lebanon. IDF imemuua Hussein Izzat Mohammad Atwi, gaidi mkuu katika kundi la kigaidi la Jama'a Islamiya lenye mfungamano na Hamas, wakati wa mgomo nchini Lebanon, jeshi lilisema Jumanne. Mgomo huo ulitokea Haret El Naameh, kusini mwa Beirut...
  7. Webabu

    Rais wa Lebanon asema hana haraka na kuwanyang'anya silaha Hizbullah wakati Israel inaendelea kuvunja mkataba wa amani wa Novemba 2024

    Uhusiano wa serikali ya Lebanon na chama cha Hizbullah umezidi kuimarika baada ya raisi Joseph Aoun kukasiririshwa sana na mauwaji yanayoendelea kufanywa na majeshi ya kiyahudi ya IDF ndani ya ardhi ya nchi yake.Tamko hilo linafuatia baada ya shambulizi lililoua watu wawili leo. Katika...
  8. gallow bird

    Ndege vita,drone na helikopta za Israel zilipopolewa Lebanon na Palestina

    Ndege vita/jet na drone zilianguka Lebanon, israel ikijitetea kuwa ni tatizo la kiufundi Wakati huohuo helicopter ilianguka huko gaza na kuua askari wawili wa israel,utetezi wao ni ule ule, tatizo la kiufundi https://www.jpost.com/breaking-news/article-849513
  9. Echolima1

    Graphic video: Kamanda wa Hezbollah Mohamed Mansour alivyouawa na majeshi ya Israel huko Lebanon.!!

    Majeshi ya Israel yamefanikiwa kumuua gaidi Mohamed Mansour aliyekuwa akit uhu iwa kuamru kushambuliwa kwa makazi ya wayahudi huko Kaskazini mwa Israel juzi aliingia kwenye 18 za majeshi ya Israel na gari yake kupigwa kombola gari liliwaka akiwemo yeye na mpambe wake juhudi za kutoa kwenye hilo...
  10. Echolima1

    Magaidi wa Hezbollah waendelea kupata kipondo huko Lebanon!!!

    Magaidi wa Hezbollah baada ya wao jana kuishambulia Israel leo hii majeshi ya israel yamewalenga makamanda wa Hezbollah waliokuwa wakisafiri kutumia gari. Ikimbukwe kuwa magaidi wa Hezbollah walilemazwa na Operation Beeper 📟 ambayo ilisababisha wao kupi Gish wa magoti kwa kuwepo Ceasefire ambayo...
  11. Webabu

    Serikali ya Lebanon na Hizbullah wako pamoja kupinga vita vinavyoshinikizwa kwao na Israel

    Waziri mkuu wa Lebanon ambaye anaiunga mkono Hizbullah ameonya juu ya kuzuka kwa vita upya baada ya jeshi la Israel kushambulia maeneo kadhaa ya nchi hiyo na kusababisho vifo visivyopungua 7. Katika tamko jengine tofauti na la waziri mkuu,raisi wa nchi hiyo Joseph Aoun ammbaye ni mkristo...
  12. Bams

    Israel yafanya Mashambulizi Mazito Lebanon, Jeshi la Lebanon Laangamiza Vituo vya Kurushia Makombora vya Hezbollah.

    Kufuatia kitendo cha makombora kurushwa tokea Lebanon kuelekea Israel, Israel imeshambulia targets mbalimbali za Hezbollah kusini mwa Lebanon. Hezbollah hawajasema kuwa ni wao ndio waliorusha, lakini Israel inaamini ni Hezbollah. Netanyahu ameahidi kufanya mashambulizi makubwa zaidi dhidi ya...
  13. I

    Lebanon yanasa dola milioni 2.5 kutoka Iran zikipelekwa kwa kundi la kigaidi la Hezbollah.

    Lebanon yatwaa dola milioni 2.5 zilizokuwa zikitumwa kwa Hezbollah kutoka Iran baada ya kumnasa mtu kwenye uwanja wa ndege katika tukio "lisilo na mfano". Mtu anayedaiwa kubeba dola milioni 2.5 pesa taslimu zilizokuwa zikipelekwa kwa kundi la kigaidi la Lebanon Hezbollah aliripotiwa kuzuiliwa...
  14. U

    Rais wa Lebanon amwambia Spika wa Bunge la Iran: Tumelipa gharama kubwa kuwatetea Wapalestina na hivyo tumechoka na vita vya nchi nyingine!

    Wadau hamjamboni nyote? Lebanon imechoshwa na vita vya nchi nyingine Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: February 23, 2025 Lebanese president tells Iranian parliament speaker: Country is ‘tired of others’ wars’ Lebanese President Joseph Aoun tells Iranian Parliament Speaker Mohammad...
  15. U

    Serikali ya Lebanon yapiga marufuku ndege za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutua uwanja wa ndege Beirut, maelfu ya abiria wakwama kusafiri

    Wadau hamjamboni nyote? Kumekuchaa Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Dozens of Lebanese nationals have been stranded at the international airport in Tehran since this morning after Lebanese aviation authorities informed the Iranian Mahar Air airline that its flight to Beirut would not be...
  16. Financial Analyst

    Rais mpya wa Lebanon anasema magaidi wa hezbollah hawana nafasi katika nchi hio

    Mwamba anaitwa joseph aoun. Aliwahi kuhudumu kama jenerali katika jeshi la Lebanon.
  17. U

    Joseph Aoun Mkuu wa Majeshi achaguliwa kuwa Rais Lebanon. Marekani, Saudi Arabia na Israel zaahidi kumpa ushirikiano

    Wadau hamjamboni nyote? Habari njema sana Joseph ndiye Rais mpya Lebanon akichaguliwa kwa kura 99 kati ya 129 Amehudhuria mafunzo maalumu ya kijeshi ya kupambana na ugaidi nchini Marekani mwaka 2008 Mgombea anayeungwa mkono na magaidi ya Hezbollah amejitoa kwenye uchaguzi baada ya kuona...
  18. Kitimoto

    Silaha, Makombora na Vifaa vya Kijeshi Zaidi ya 85,000 vya Hezbollah Vimetwaliwa na Jeshi la Israel IDF Kusini mwa Lebanon

    Tangu Oktoba 2024, vikosi vya IDF vilifanya kazi dhidi ya Hezbollah katika zaidi ya maeneo 30 kusini mwa Lebanon. Wanajeshi hao walitambua na kuharibu miundombinu ya magaidi, wakaondoa magaidi, na kupata na kunyang'anya silaha. makombora na vifaa vya kijeshi zaidi ya 85,000. Silaha...
  19. U

    Wazo langu: amani ya kweli itapatika Mashariki ya kati kwa kuigawanya nchi ya Syria kuwa nchi

    Wadau hamjamboni nyote Ni maoni yangu na Nina uhakika yakitekelezwa amani ya kudumu itapatika Mataifa ya Syria na Lebanon yagawanywe kama ifuatayo Syria igawanywe kuwa nchi 2 Lebanon igawanywe kuwa nchi 2 Siku njema
  20. G

    Jeshi la Israeli limechukua udhibiti wa kilele cha Mlima Hermoni upande wa Syria bila pingamizi, eneo la kimkakati linalotazama Lebanon na Syria

    Ni eneo la kimakati lililowaumiza Israel vichwa kwa muda mrefu, kilele cha mlima Hermon kiliwapa advantage kubwa Syria na Hezbollah kuichunguza na kuishambulia Israel. Israel imetwaa eneo hili bila pingamizi katika kile kinachodhaniwa "hakuna kitu cha Bure", Israel waliweza kutoa msaada mkubwa...
Back
Top Bottom