kwa yusuph

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Daladala "Kwa Yusuph" Mbezi Mwisho kutumika kama Kituo cha Malori, si salama

    Hapa ni kwa Kituo cha Daladala cha "Kwa Yusuph" kilichopo Mbezi (Morogoro Road) kwa sasa kimegeuka kuwa stendi ya magari makubwa (malori) yanayosimama kwa ajili ya kupakia abiria pamoja na gari ndogo zinazosafirishwa kwenda mikoan na nchi jiran, (IT) bila kusahau mabas kwa nyakari za usiku. Hii...
  2. ZVI ZAMIR

    JamiiForums Tanzania Wanatani wa Yanga mitaa ya Mbezi kwa yusuph washerekea ubingwa kwa namna yake

    kundi la vijana wakike kwa wakiume wakiwa na furaha sana, wakiimba ule wimbo pendwa wa leo ndo leo huku wakiendelea na maandalizi ya Mbuzi watatu pamoja na vyakula vingine, pamoja ya hayo wakiwa ndani ya mavazi (sio wote)ya kanzu wanasherekea ubingwa wa USM. Vigoma pia vinaandaliwa (kuanzia...
  3. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Kero ya maji Mbezi Louis kwa Yusuph

    Morning, Now hii imekuwa kero kubwa huku Mbezi maji yamefunguliwa juzi leo morng yamekatika na kurudi kwake ni week. Tumekaa week bila maji the yanakuja kufunguliwa two days yanakatika na hawafungi mpaka week ipete imezidi sasa. Af mwisho wa mwezi bill kubwa ase silipi this time.
Back
Top Bottom