kuzimu

In religion and folklore, hell is a location in the afterlife in which evil souls are subjected to punitive suffering, most often through torture, as eternal punishment after death. Religions with a linear divine history often depict hells as eternal destinations, the biggest examples of which are Christianity and Islam, whereas religions with reincarnation usually depict a hell as an intermediary period between incarnations, as is the case in the dharmic religions. Religions typically locate hell in another dimension or under Earth's surface. Other afterlife destinations include Heaven, Paradise, Purgatory, Limbo, and the underworld.
Other religions, which do not conceive of the afterlife as a place of punishment or reward, merely describe an abode of the dead, the grave, a neutral place that is located under the surface of Earth (for example, see Kur, Hades, and Sheol). Such places are sometimes equated with the English word hell, though a more correct translation would be "underworld" or "world of the dead". The ancient Mesopotamian, Greek, Roman, and Finnic religions include entrances to the underworld from the land of the living.

View More On Wikipedia.org
  1. Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

    Wakuu, Tunafarijika kuwafahamisha kuwa tumerejea hewani baada ya kupata mashambulizi ya makusudi yenye kulenga kuzuia upatikanaji wa huduma kwa watumiaji wa JamiiForums (DDOS Attack) kwa takribani masaa 7, kuanzia saa 7 mchana hadi saa 2 usiku. Mashambulizi haya yaliyolenga kuidhoofisha...
  2. Kherson imegeuka kuzimu

    Moto unaowaka Kherson siyo mdogo, yaan sijui watu wanapataje data za waliokufa ,na vifaa vilivyoaribika. Mahojiano yalifanywa kwa wanajeshi 7 wa Ukraine ambao walipata majeraha na wako katika uangaliz wa kiafya. Mambo waliyofichua ni mazito, wanadai kiukweli hali ya vita Kherson ni kama...
  3. S

    SoC02 Jaa la mjini

    Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwa na wimbi kubwa la Imani potofu ambayo watu kutoka nje ya kisiwa Cha Pemba wanaifanya iendelee kuota mizizi siku hadi siku. Hiii ni kutokana na baadhi ya watu kuamini kuwa Pemba ndio kitovu au zizi la itikadi za matendo ya kishirikina hali ambayo imekuwa...
  4. S

    Kwa jicho la tatu Kuzimu iko/ndiyo Tanzania. Maana maovu yanapendwa kuliko mema

    Acha niorodheshe baadhi ya maovu yaliowahi kufanyika ama yanayofanyika hapa Tanzania na kushangiliwa au kunyamaziwa na jamii. 1. JPM alivunja katiba hadharani ktk Mambo mengi sana , watanzania kimyaaa!!! Sri Lanka na Sudan wameweza 2. Mwgulu amewahi kutoa kejeli kwa watanzania kuwa asiyetaka...
  5. Yule Mzee akaniuliza; Kipi Bora, Nchi kupelekwa kuzimu au kurudishwa shimoni?

    Kwema Wakuu! Leo nilikutana na Mzee mkongwe ambaye mara ya mwisho kuonana ilikuwa 2017, aliponiona akanichangamkia Sana huku akatabasamu, nami nilifurahi Sana Kwa maana huyu Mzee licha ya umri kusonga lakini akili yake bado ilikuwa na nguvu, baada ya kusalimiana Stori za hapa na pale zikaanza...
  6. Bukoba, Moshi, Arusha na Mbeya ndio wanaoichangamsha nchi hii? Tarehe 25Dec na 1 January miji mingine hupoa kama kuzimu

    Habari Wakuu! Nimetembea tembea kidogo kwenye nchi yetu hii. Hivi ni kusema Watu kutoka Kagera, Arusha, Moshi na Mbeya ndio wanayoichangamsha miji mingi ya Tanzania? Maana ikifika mwezi wa 12 hasa kuanzia tarehe 20 mpaka tarehe 1 January hawa watu wakienda kwao miji mingine yote hupoa kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…