kuuza umeme

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    Kampuni Binafsi huko Kenya zaruhusiwa kuanza kuuza umeme moja kwa moja kwa Watumiaji. Tanzania vipi?

    Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Mafuta (EPRA) imetoa kanuni mpya zinazoruhusu wazalishaji wa umeme kuuza nishati hiyo moja kwa moja kwa watumiaji wakubwa, bila kupitia kwa msambazaji wa kitaifa (Kenya Power). Hatua hii inahitimisha ukiritimba wa miaka mingi wa kampuni ya Kenya Power and...
  2. Waufukweni

    Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje

    Wakuu Rais Samia akiongea kwenye Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika leo Januari 28,2025 Jijini Dar es salaam. "Tanzania ni moja ya Nchi 12 zitakazozindua mpango mahususi wa kitaifa kuhusu nishati, kupitia mpango wetu tunatarajia kuongeza kasi ya kuunganisha umeme nchini hadi kufikia...
  3. Roving Journalist

    Dkt. Biteko aeleza Tanzania inavyojiandaa kuuza umeme nchi jirani na uwepo wa soko la uhakika

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inawakaribisha wawekezaji katika sekta ya nishati ili kuongeza kasi ya usambazaji, uzalishaji na unganishwaji wa nishati nchini Tanzania. Dkt. Biteko amesema hayo leo Oktoba 21, 2023 nchini Singapore wakati...
Back
Top Bottom