kutoa misaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OLS

    Ukiagiza gari unatozwa tozo ya UKIMWI

    kwa mujibu wa sheria ya fedha 2025, serikali imeweka tozo ya UKIMWI ambayo nadhani ni matokeo ya USAID kuondoka na UKIMWI kuwa hauna fedha. Hii tozo ni kwa wanaoagiza magari na madini. Viwango ni kama kwenye jedwali lifuatalo.
  2. L

    Kufikia 2030 Rais Samia Atakuwa Na Uwezo wa Kuilisha Afrika Nzima Na Kutoa Misaada ya Chakula Kwa Baadhi ya Nchi Za Ulaya na Asia

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa kasi ya uwekezaji wa Mabilioni kwa mabilioni ya pesa unaofanywa na Rais Samia katika secta ya kilimo, kwa Mapinduzi ya kilimo yanayofanywa na Mama ,Kwa hatua zake za kuongeza Bajeti ya kilimo kufikia zaidi ya Trilioni moja point tisa, kwa kasi yake ya kuvutia...
  3. MwananchiOG

    5imba yaacha ubahili yawaiga Yanga kutoa misaada kwa wahitaji kuelekea mechi muhimu

    Sio jambo baya, Ila mmechelewa sana.
  4. MamaSamia2025

    Usitoe misaada hovyo hovyo

    Huu ni uzi tu wa kukumbushana. Kuna wale wenzetu wanaojifanya wakristo kuliko kristo mwenyewe nawasihi muache ujinga. Kusaidia sio jambo baya ila unaposaidia kiasi cha kutaka kujiyumbisha kiuchumi inakuwa sio sahihi. Saidia kulingana na uwezo wako na usisaidie hovyo hovyo. Watu wasikuzoee...
Back
Top Bottom