kusoma advance

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. qca ceo

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kusoma advance na kupata ufaulu mzuri

    Jaman brothers naenda kidato cha tano tahasusi ya PMC(Physics, Mathematics, Computer). Natamani kupata division 1.3. Naombeni ushauri wenu na technique za kusoma
  2. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Bora usome Advance kwanza ukienda Diploma utasoma muda wowote

    Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri. Mimi naomba ni washauri kama unataka kufanya makubwa nenda advance ila kama unataka elimu ya tia maji Ili uajiliwe nenda tia maji.
Back
Top Bottom