Unapozungumzia sijui angalieni sudan nacho mwambia na yeye akaangalie Wasafi ze story book kwa nini sudani ilifikia pale.
Mlipofikisha hapa mbona unaruka kama CD imechubuka.
ujataja haya mambo:
• Uchaguzi feki,
• Utekaji,ufisadi,uhuru wa haki.
Kama yupo au anayemfahamu mwambieni The story...
Tanzania inaendeshwa kwa mujibu wa Sheria na kanuni .
Kuandamana ni haki ya kila Mtanzania ila ni haki ya serikali kupinga au kukataa maandamano kwa sababu za kiusalama na kijamii.
Hakuna serikali itakayotoa kibali cha maandamano ya kuiondoa serikali husika.
Mngetaka kuiondoa mngepiga kura na...
Moja kwa moja.
Baada ya tukio la October 7 Hamas kushambulia Israel nilikuwa kinyume na Waislamu wengi wa Jf katika mijadala ya humu tokea siku ya kwanza , na supporters wa Hamas walinipinga wakidai.
1. WaPalestina wanaonewa kila siku kwa miaka mingi tena kwa dhuluma hivyo lazima wapambane...
Wakuu kwanza naanza kwa kudeclare kweli mimi ni mkristu na ninaabaudu na kusadiki kanisa Takatifu katoliki la Mitume
Toka uchaguzo umeanza umeisha yaliyojitokeza wakati na baada ya uchaguzi wote tumeona na kwa namna moja ama nyingine tunaona tumeguswa kila namna hata kama sio ya moja kwa moja...
Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha uamuzi wa Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi wa nchi hiyo Douglas Kanja, wa kupiga marufuku maandamano ya umma yaliyopangwa na vijana wa Kenya katikati ya Jiji la Biashara la Nairobi (CBD).
Jumatano jioni Inspekta Jenerali wa Polisi alitangaza kupiga marufuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.