Nimeona tangazo LATRA inataka kukaa na wadau ili nauli zipande heti! Hii Nchi hawa viongozi hawana huruma na wananchi au? Mafuta yashaanza kushuka huko duniani, wao wanawaza kupandisha nauli.
Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Habibu Suluo amesema ongezeko la nauli ya Mwendokasi kutoka TZS 750 hadi TZS 1,000 hakuhusiani na matukio ya Oktoba 29, 2025.
Pia Soma:
KERO - LATRA: Nauli Mwendokasi (DART) kwanini imepandishwa bila taarifa?
LATRA: Serikali imeridhia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.