SIM Swapping Wizi wa Namba ya Simu Bila Kuibiwa Simu Na Jinsi ya Kujilinda
Katika dunia ya sasa ya kidigitali, namba yako ya simu imekuwa “kitambulisho” chako mtandaoni. Inatumika kuthibitisha miamala ya benki, kufungua WhatsApp, kusahihisha nenosiri kwenye akaunti zako, na hata kupata huduma...
Wakuu nimeibiwa simu na ina simcard ina savings zangu zote, sasa nashindwa kurenew simcard sababu alienisajilia nimetafuta bila mafanikio, naomba msaada kwa mnaofahamu hizi mambo.
Kwenye makampuni ya simu naweza kisaidiwaje? nisaidieni mawazo please nahisi kuchanganyikiwa.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema wananchi wamekuwa wakilalamikia ucheleweshaji wa upelelezi wa simu zilizoibiwa, hali inayowafanya wahalifu kuepuka kukamatwa kwa wakati ambapo ameagiza Jeshi la Polisi kushughulikia changamoto hiyo kwa haraka.
Bashungwa amesema...
Kuna makampuni, na watu Binafsi ni wezi wa kimya kimya, pia ukijaa kwenye mfumo wanakuibia.
Tarehe 16, Nikaenda polisi, kila siku Longo longo. nikawachek hawa makampuni Binfsi wanataka pesa kabla ya kazi.
Pia soma: Ilikuwaje ukaibiwa simu??
Ila nilipowasikiliza Vizuri hawa jamaa, nikaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.