Rais wa Marekani Donald Trump ameitangaza na kuionesha rasmi kadi ya gold (Gold Card au Trump Card) yenye sura ya Trump ambayo itagharimu USD milioni 5 (Tsh. bilioni 13.375) ambapo Mtu atakayenunua atapata fursa ya kuwa na makazi ya kudumu nchini Marekani kama ilivyo kwa Watu wenye green card...
Habari zenu ndugu zangu! Habari zenu tena!
Nimeshiriki kuangalia applications kadhaa za watu kutoka Afrika kuja US hasa wanaotaka kuja aidha kusoma au kufanya exchange program. Jambo kubwa ninalojifunza ni kuwa watu wa huku mbali na mambo mengine wanaangalia sana "reference letters" au zile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.