kuanzisha kiwanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sales man

    Utaratibu wa kuanzisha kiwanda upoje, je ni sahihi mtu kuweka kiwanda katikati ya makazi ya watu ambacho kinazalisha environmental pollution?

    Leo , nipo kawe katika Siasa . Ila nimefika mtaa fulani nimekuta kuna kiwanda kipo na kina zaidi ya mwaka mmoja kinaleta environmental pollution. Je ni sahihi naomba watu wa mazingira tuwasiliane haraka.
  2. S

    Namibia na Botswana kujenga kiwanda cha pamoja cha kusafisha mafuta

    Nchi za Namibia na Botswana zinatarajiwa kuwa na kiwanda cha pamoja cha kusafisha mafuta( Oil Refinery) ili kupunguza kiwango cha mafuta wanachoagiza kutoka nje. Hatua hiyo imetajwa ikiwa ni baada ya ziara ya Rais wa Namibia nchini Botswana. Pamoja na kupunguza uagizaji wa bidhaa za mafuta...
  3. Replica

    Yutong yafikiria kuanzisha kiwanda Tanzania baada ya soko lao kukua kwa kasi

    Mtengenezaji mkubwa wa magari ya kibiashara kutoka China, Yutong, kwa sasa anachambua soko la nchi Tanzania kwa uwezekano wa kuanzisha kiwanda cha kuunganisha magari nchini Tanzania. Hii ni baada ya kupata mwelekeo mzuri wa soko tangu kuingia kwake nchini. Afisa Mtendaji Mkuu wa Yutong Bus...
  4. Lagrange

    Garama ya kuanzisha kiwanda kidogo cha mifuko

    Habarini Wakuu. Naomba kujuzwa uchanganuzi mzima wa kuanzisha kiwanda kidogo cha mifuko hii ya 'twende sokoni ' au kwa jina jingine maarufu mifuko ya 'connection' Faida yake ,mashine zinazohitajika na mambo mengine mengine yote. . Asante.
  5. E

    Ushauri: Nataka kuanzisha kiwanda cha unga wa sembe Dar

    Habari Mimi ni kijana mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda cha kuzalisha Unga (sembe +dona) Dar. Nilikuwa naomba wazoefu kwenye hii biashara wanipe muongozo kwenye haya. 1. Mashine zipi ni bora ( kusaga, kukoboa na sealing) na ufanis wake ukoje 2. Mahindi ya mkoa gani ni mazuri? Na huwa...
Back
Top Bottom