kkkt karagwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msanii

    Anaripoti Askofu Bagonza:“Gari la Mchungaji Wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Lachomwa Moto

    Wapendwa Great Thinkers. Nchi yetu inapitia kipindi kigumu sana. Nimewawekea taarifa ya video hapa ili mpate taarifa kamili. =================== Anaandika Baba Askofu Rev. Dr. Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Usiku wa kuamkia leo, tarehe 5/9/2025 watu “wanaojulikana”...
  2. Just Pray

    GE2025 KKKT Dayosisi ya Karagwe yatangaza jumapili ya Agosti 31, mitaa yote ifanye maombi kuenzi haki na amani

    TWENDE MAGOTINI KWA NIA NA IMANI Jumapili ya 10 baada ya UTATU, KKKT utafakari juu ya HAKI HUINUA TAIFA, na DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOWOTE. Tumo katika juma hilo. Tunaalikwa sote kumlilia Mungu ili tusitenganishe HAKI na AMANI. 1. Kama HAKI huinua Taifa, basi dhuluma huangusha taifa. 2. Ili...
Back
Top Bottom