Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada kimepimwakina square meter 700 bei milioni 35 kiwanja kipo kibada karibu na tawi la crdb bank block 5 kwa mawasiano simu 0659962452
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Habari ya sikukuu wakuu. Kiwanja kinauzwa
🔥Kina ukubwa wa square metres 597
🔥Kinapatikana KISOTA BLOCK 3 Mtaa wa nyuma ya barabara ya Dr Dau.(Ni mtaa ulio oposite na nyumba ya Dr Dau.
🔥Kina hati ya wizara
🔥Ni corner plot yaani kinatazama barabara mbili za mtaa.
🔥Hakina mgogoro wowote kinauzwa...
Kiwanja kina ukubwa robo eka.
Kipo kibaha visiga.
Umbali Mita 300 kutoka morogoro road.
Unatembea kwa miguu kidogo unaingia ndani.
Bei milioni 9.
0678908743
Mahali: Mivule Mipeko – Mkuranga
Ukubwa: 100 × 40 ft
Maji yapo
Umeme upo
Eneo ni tambarare, linapendeza na linafikika kwa urahisi
Lipo sehemu salama, jirani na makazi ya watu.
Linazuri kwa kujenga nyumba au uwekezaji wa baadaye.
BEI: TZS 4,000,000
Hakuna dalali – unawasiliana moja kwa moja...
Kiwanja kipo kibaha picha ya ndege.
Kipo nyuma ya hospital ya wilaya Lulanzi.
Kiwanja kina ukubwa Mita 30 kwa 20
Kutoka morogoro road km 2.
umeme upo hapo hapo wa kuvuta maji yapo karibu.
Bei milioni tatu na nusu.
Kiwanja Kinauzwa Kiluvya Madukani
Ukubwa Heka 1 yani mita 70x70
Huduma zote zinapatikana
Umbali Kutoka Morogoro road km 6
Bei eneo linauzwa Mln 15
0775 179905
KIWANJA KINAUZWA
KILUVYA KWA KOMBA
KIPO MITA 600 TU KUTOKA LAMI
_____________________________
✅ KINA UKUBWA WA 25*30
✅ KIPO KARIBU NA LAMI HAINA
HAJA YA KUPANDA BODA MITA 600
TU KUTOKA MAIN ROAD.
✅ KIPO KWENYE BARABARA YA MTAA
✅ KIPO MTAA ULOCHANGAMKA
✅ HUDUMA ZOTE MUHIMU ZIPO...
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Kiwanja Kinauzwa Kibaha-Visiga(Kwa daladala Unashuka Kwa kipofu au madafu kwani kipo Kati ya vituo hivyo viwili.
Eneo la kiwanja ni Mita za mraba 408, Huduma zote muhimu zipo kama maji,Umeme, shule ya serikali na private zipo karibu na eneo.
Bei ni milion 3.7
Mawasiliano:SIM no.0658500812
Kiwanja Chenye eneo la Mita za mraba 408 Kinauzwa sh.Milioni 3.7
Kipo Visiga madafu(Kwa usafiri wa daradara Unashuka Kwa kipofu au madafu Kwani eneo lipo Kati ya vituo hvyo viwili) ,umbali wa km 1 kutoka Barbara kuu (Moro road).
Huduma za msingi zipo kama vile maji ya DAWASCO,Umeme,Shule ya...
Kiwanja hakijapimwa ila kipo surveyd, kina ukubwa wa 1500sqm+. Kipo karibu na shamba litakalo jengwa shule ya feza kigamboni. Kinataka 30ML. Zingatia kutoka barabara ya kibada mwasonga ni 450m only hakina udalali. Price included na ku process hati ni PM.
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei: Tzs Milioni 35.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya Serikali ya mtaa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Nauza kiwanja.
Mahali: Chanika Lukooni nyuma ya stendi mpya inayojengwa ya Chanika. Kama unaelekea Mvuti unateremkia Videte.
Ukubwa: mita 12 kwa mita 18.
Bei: 7.5 m
Mawasiliano: +255788745213
Nauza kiwanja.
Mahali: Chanika Lukooni nyuma ya stendi mpya inayojengwa ya Chanika. Kama unaelekea Mvuti unateremkia Videte.
Ukubwa: mita 12 kwa mita 18.
Bei: 7.5 m
Mawasiliano: +255788745213
Kiwanja Kinauzwa – Kibada Block 11, Wilaya ya Kigamboni
Bei: TSHS Milioni 130 (Inazungumzika)
Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1,490
Fursa ya kipekee kumiliki kiwanja kikubwa na chenye mandhari nzuri katika eneo linalokua kwa kasi la Kibada Block 11, Wilaya ya Kigamboni. Kiwanja hiki kina ukubwa wa mita...