Wakuu,
Msaada kwa ufafanuzi tupate ufahamu wa haya madai, kwa kawaida nafahamu ukeni kuna bakteria ambao ni muhimu kwa usafi na ni kama walinzi wa uke dhidi ya infections ndogo ndogo
Jipu ni maambukizi ya bakteria kwenye ngozi yanayoonekana kama chunusi kubwa iliyojaa usaha. Huanza kama uvimbe unaoonekana kisha hujazwa usaha, pia linaweza kusababisha maumivu makali.
Kitunguu saumu kibichi kinaweza kuwa na sifa za kuua vijidudu zinazosaidia kuponya majipu na kuzuia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.