kitunda

Kitunda is a town and an administrative ward in the Ilala District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 23,428. The Soni Falls lie to the northeast of the town. The town gets its name from the Swahili word for the pawn in chess.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Hongera TARURA Ilala, nimetumia dakika tano kutoka Kitunda mpaka Banana

    Leo natoka Kitunda barabara imechongwa na greda. Nimetumia dakika tano kutoka Kitunda mpaka Banana tofauti na awali saa moja. Hongera endelea kuchonga kwenda Kivule, Mwanagati, Magole, Kibeberu. Thanks and keep it up.
  2. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara ya Kitunda Mwanagati

    TARURA, TANROAD, LATRA, MKUU wa MKOA DSM. Barabara ya Banana Mpaka kitunda Mwanagati,ni kero nzito kwetu,Wakina Mama waja wazito, Watoto wa Shule,wafanyabiashara na wakazi kwa ujumla. Kuna km 1 ya Rami imeharibika,ipo kiwango Cha kokoto Sasa zaidi ya miaka mitatu, eneo Makaburini mpaka kitunda...
  3. Mchokozi wa mambo

    JamiiForums Tanzania TARURA huu ni uhuni na usaliti kwa kata ya Kitunda, Mzinga na maeneo jirani

    Kwakweli inasikitisha kweli kwa kinachofanywa na TARURA katika barabara za Kata ya Kitunda, Mwanagati na maeneo jirani na kata hizo naweza kusema ni uhuni na kutukosea wananchi. Wameweka bango kubwa la ukarabati wa barabara na kushangaza wamepitisha greda na kumwaga kifusi cha vumbi. Hata kama...
Back
Top Bottom