Taarifa iliyotolewa na Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, imeeleza Askofu Mkuu Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, OFMCap, amewaalika Mapadri, Watawa na Waamini wote kushiriki Misa Maalum ya kuwaombea Wafu itakayoadhimishwa Jumatatu, Novemba 10, 2025.
"Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi...