kilaza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania Hivi ukiwa kada wa CCM ni lazima uwe kilaza?

    Katika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
  2. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Nashukuru jitihada za wazazi wangu nikaacha kuwa kilaza na kumaliza kwa ufaulu mzuri chuoni

    Tukija kwenye suala la shuleni, mimi niwe mkweli, Sikuwa na uwezo wa kufundishwa na mwalimu pekee darasani, pia kujisomea ilikuwa taabu, nimeanza kujisomea form 2. Nashukuru wazazi waliweza kunipigania nisome english medium lakini hii pia isingezaa matunda kama ningeachwa nisome kivyangu...
Back
Top Bottom