kesi tundu lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    Video: Mawakili wakizichapa ngumi wakati wa mapumziko kesi ya Tundu Lissu

    Hali ya mvutano imetokea baina ya mawakili wa Jamhuri na baadhi ya mawakili wa upande wa Tundu Lissu, pamoja na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakigombea sehemu ya kukaa ndani ya ukumbi wa Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es Salaam. Mvutano huo ulijitokeza baada ya...
  2. R

    GE2025 Mamlaka zimechukua hatua gani kwa wanaodaiwa ni Askari kuwepo katika kesi za Tundu Lissu kwa namna isiyo rasmi? ikiwa CHADEMA kila kesi wanalalamika

    Habari wakuu, Kila inapofika kusikilizwa kwa Kesi za Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu huwa kunaibuka mvutano au sintofahamu ya kuwepo Maaskari katika namna isiyo rasmi eneo wanalokaa wanachama wa CHADEMA au eneo la wasikilizaji kesi Mahakamani huku wanachama wakitaka waondoke Lakini cha...
  3. R

    GE2025 CHADEMA wataka anayedhaniwa kuwa Polisi atolewe nje ya Mahakama

    Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa ndani ya chumba cha Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam wakiomba kutolewa nje mtu mmoja aliyedhaniwa ni askari ambaye ameenda kukaa katika benchi la wafuasi hao Leo Septemba 8, 2025 Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu...
  4. R

    GE2025 Wakili Alute Mughwai afafanua namna ambavyo Rais anaweza akatoa Ushaidi kwenye kesi ya Tundu Lissu

    "Katiba yetu inasema watu wote ni sawa na watawajbika kwa mujibu wa sheria, kwa maneno mengine hakuna mtu yeyote ambaye yuko juu ya sheria isipokuwa kama sheria hiyohiyo inampa kinga kwamba hawezi kwa mfano kushitakiwa au hawezi kwenda kutoa ushahidi", - Wakili Alute Wakili Alute Mughwai, mmoja...
  5. curie

    PreGE2025 POTOSHI Picha ya Rais Samia akifuatilia kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu

    Picha inaelezea vitu vingi.
Back
Top Bottom