kero sgr

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Basi Sawa Tumeona Tayari Sasa Ibinafsishwe tu

    Naendelea kuamini nchi imeharibika. Tupo hapa SGR Head Office Station. Tukiwa ndani ya lounge ina kiyoyozi lakini tumelowa jasho. Ilikuwa tuondoke saa 12 jioni kuelekea Dodoma mara bin vuu tunambiwa treni ya Dodoma hamna. Mara mvua inanyesha Dodoma hivyo haiwezi kwenda, mara abilia wachache...
  2. JamiiForums Tanzania Responded Behewa namba 14 la SGR lilikokuwa bovu limetengenezwa, mambo yamenyooka

    Mtu wangu kutoka eneo la tukio kapiga simu kunishukuru, anasema muda mchache baada ya mimi kupandisha uzi huu, zoezi lilikokwama kwa siku nzima lilianza kufanyika huku treni inasafiri. Chanzo cha stori: KERO - TRC rekebisheni behewa namba 14 kwenye treni ya SGR. Hakuna hewa, mtaua watu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…