Habari
Mimi ni kijana wa miaka 27 nimehitimu shahada ya kwanza mwaka 2023, natafuta shule ya kufundisha kwa masomo ya mathematics, physics, biology na chemistry kwa primary, ordinary level, na advance pia
Niko tayari kwa interview muda wowote nitakaohitajika
Ahsante
Mawasiliano; 0635198791