kanisa la askofu gwajima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Jumanne Muliro: Askofu Gwajima akitaka, akate rufaa (rufaa inakatwa kwa Waziri Bashungwa)

    Jumanne Muliro, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam: "Sisi jukumu letu ni kuona kwamba tunaitekeleza ile sheria na kusimamia kuona kwamba kilichoelekezwa [na Ofisi ya Msajili] basi kinatekelezeka na kutekelezwa kwake ni kutoendelea kufanya zile shughuli zilizokuwa zikifanyika...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Wananchi (Waumini ) wafunga barabara ya Morogoro eneo la Ubungo baada ya Polisi kulizingira Kanisa la Askofu Gwajima

    Barabara ya UBUNGO kutoka Posta wananchi wameifunga Hii sasa ni balaa wananchi wanamlinda Askofu wao. Baadhi ya wananchi ( waumini ) ambao walionekana nje ya Kanisa la Ufufuo na uzima ambalo lipo chini ya Askofu Gwajima wakiwa wamefunga barabara kushinikiza kuto kamatwa kwa Askofu wao na hii...
Back
Top Bottom