kampeni ya kataa ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Samson Ernest

    Kampeni Ya Kataa Ndoa Ilitabiriwa Zamani Itakuja Nyakati Za Mwisho

    Kama utabiri utatolewa alafu usitimie huo utabiri bila taarifa za uhakika kutoka kwa Mungu, utakuwa utabiri wa uongo. Kama kile kimeandikwa kwenye biblia kisiwe kama kilivyosemwa, tutakuwa hatuna haja kuendelea kujivunia neno la Mungu. Tunajivunia neno la Mungu(biblia) kwa sababu ilituambia...
  2. ELI COHEN

    Vijana wa kataa ndoa kimya sana siku hizi au mmeanza kuoa kisiri siri?

    Karibuni chamani wakuu.
  3. Mindyou

    Picha: Juma Jux ameiaga rasmi kampeni ya kataa ndoa. Afunga ndoa na mchumba wake Priscilla

    Wakuu, Kiongozi wa Mabachelor Tanzania, Juma Jux nae rasmi ameingia ndoani. Kataa ndoa mmepoteza moja ya makamanda wenu watiifu katika kambi yenu. Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio la ndoa yao.
  4. Mindyou

    Kataa ndoa hii tafiti mpya mmeisikia? Vijana ingieni kwenye ndoa muepuke uchizi

    Team Kataa Ndoa Mpo? Sidhani kama kuna haja ya kusalimiana. Kama kuna mtu ana lolote anaweza akasema linalomsibu kwenye nafasi niliyoiacha hapo juu. Najua humu jukwaani kuna movement ya Kataa Ndoa. Itoshe kusema kuwa kutokana na research iliyofanywa nimefahamu kuwa watu wengi ambao ni team...
  5. ChoiceVariable

    Kama pesa ya Mwanamke hainihusu, kampeni ya kataa ndoa ni halali sababu inakuwa utapeli

    Huu upuuzi Kila siku naukataa,kama Pesa ya Mwanamke Hainihusu yupo hapo Kwa Ajili ya nini hasa? Hicho kinachoitwa ndoa ni Cha maana gani ikiwa kinaleta unyonyaji Kwa Mwanamke? Si Bora niwe nahonga na kula mzigo Kwa kununua kuliko huu ujinga unatetewa hapa? ====== Mkuu wa Dawati la Jinsia na...
Back
Top Bottom