kampeni kataa ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Intelligent businessman

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria. (me na ke). Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa upigaji, ukandamizaji wa haki na ufekiji wa hisia ili kujitengenezea mazingira ya kumdhurumu au kumdhuru...
  2. R

    Chameleone Kusaini talaka baada ya miaka 17 kwenye ndoa. Adai mali ni za watoto

    Mkongwe wa Mziki nchini Uganda Joseph Mayanja maarufu kama Jose Chameleone amevunja ukimya kuhusu mwenendo wa talaka yake na Mke wake Daniella Atim waliofunga ndoa miaka 17 iliyopita na kusisitiza kuwa ingawa amekubali mali zake kugawanywa lakini hakubaliani na kitendo cha kulazimishwa kusaini...
  3. Kekule Wa Benzene Ring

    Najutia kuoa kwa kukurupuka na kutumia hisia sehemu ya kutumia akili

    Wakuu habari! Poleni na majukumu na hongereni pia.... Nimepewa ruhusa na mhusika wa tukio hili niweze kushare humu ndani kisa kilichomtokea kutoka Kwa Binti aliyemuoa yapata miezi mitano Sasa. Nina Jamaa angu ni mwenyeji wa Mara Lakini kwasasa anaishi Mbeya na tunaishi Naye Kwenye apartment za...
  4. mdukuzi

    Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

    Mara kadhaa humu JF huwa naona comment za wadau wakisifia wanawake wa kitusi Nawaambia ukweli ndugu zanguni wale sio wife material, sijaishi Rwanda waka burundi ila hao wanawake wamejaa kuanzia Kahama, Ushirombo, Runzewe, Ngara, Karagwe, Biharamulo, hayo maeneo nimevuruga sana nilichobaini ni...
  5. Mindyou

    Naanza kuwaelewa kataa ndoa! Mama Ayubu amuua mumewe kisa anarudi nyumbani bila pesa yoyote!

    Mwanamke anayefahamika kwa jina la Mama Ayubu mkazi wa mtaa wa Banda mbili Kata ya Sombetini Jijini Arusha, anadaiwa amemuua mume wake aitwae Daudi Estomii (45) ikiwa ni baada ya kuwepo kwa tuhuma za muda mrefu kuwa amekuwa akimpiga mwanaume huyo pindi anaporejea nyumbani nyakati za usiku huku...
  6. B

    Swali kwa wanawake: Ni umri gani mwanaume akifikia kama hajaoa hawezi kuoa tena labda awe na pesa nyingi?

    Habarini, Hili swali nimewauliza hasa hasa wadada wa humu watoe their honest opinions, ila hata wanaume wa humu mnaweza kujibu, Kwenye jamii imezoeleka kuwa wadada wanakua na thamani kwenye macho ya wanaume kuanzia miaka 17, thamani yao inakua kwenye peak kati ya miaka 18-23 (kwenye hiki...
  7. Liverpool VPN

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Maana ya Ndoa Ndoa ni muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke, walio amua kwa ridhaa yao wenyewe kuishi pamoja kama mke na mume mpaka mwisho wa maisha yao ya ndoa. Aina za ndoa kwa mujibu wa sheria Kuna aina mbili tu za ndoa zinazotambulika na sheria ya ndoa Tanzania Ndoa ya mke mmoja na mume...
Back
Top Bottom