kampeni ccm 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Kashakari: Nitahakikisha Kigoma kusini mnapata daraja Mto Malagarasi na Barabara ya lami

    Ahadi tulizozoea kusikiliza tukidanganywa kama hatuna fikra na kubaki kuwa ndoto kwa wananchi kutoka kwa wabunge wa Chama cha Mapinduzi zinaendelea kwenye Kampeni Kigoma Kusini ----------- Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini kupitia CCM, Nuru Kashakari maarufu Kandahari, amesema...
  2. R

    GE2025 Mapokezi ya Mgombea Urais CCM, Samia, Moshi Mjini

    Shamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan Moshi Mjini zimepamba moto na matembezi kuelekea Uwanja wa Mashujaa yamefana
  3. R

    GE2025 Makonda: Naenda kuwa Mbunge wa International, Arusha ndiyo Jimbo la Wajanja

    Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda, ameeleza jinsi atakavyokuwa mbunge wa watu kutoka ndani na nje ya nchi, akisisitiza kuwa atawakilisha jimbo ambalo ni makao makuu ya Afrika Mashariki na lenye shughuli nyingi za utalii Kauli hiyo imetolewa Septemba 30, 2025, Jijini...
  4. GE2025 Diwani Mwanga Kusini CCM awaomba wananchi kura za kurundika

    MGOMBEA Udiwani kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Mwanga Kusini mkoani Kigoma Mussa Maulid amezindua kampeni yake kwa kuwaomba wakazi hao wampigie kura Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa mtindo wa kurundika. Maulid alisema wakazi hao...
  5. R

    GE2025 Vijana Moshi: Hatufungui Biashara Tunaenda kwa Rais Samia

    Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, akiendelea na ziara za kampeni mkoani Kilimanjaro ambapo leo Septemba 30, 2025 anafanya kampeni katika Wilaya ya Same, huku vijana wa Moshi Mjini wakieleza kuwa wako tayari kumpokea na kuhudhuria mkutano wa kampeni...
  6. GE2025 Samia: Hakuna mwanamke anayepaswa kufariki wakati wa kujifungua

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema dhamira ya serikali ya awamu ya sita ni kuhakikisha akina mama wanajifungua salama bila kupoteza maisha, akisisitiza kuwa kuleta maisha mapya isiwe sababu ya kifo cha mama...
  7. R

    GE2025 Shetta: Tuilinde amani yetu kwa wivu Mkubwa Kwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 tukachague viongozi bora kutoka CCM

    Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram Mgombea Udiwani kata ya Mchikichi Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nurdin Bilal Juma (Shetta) ameandika: "Tuilinde amani yetu kwa wivu mkubwa ndugu zangu watanzania ! Kwa kujitokeza kwa wingi tarehe 29 oktoba tukapige kura kwa amani tukawachague...
  8. R

    GE2025 Kadogosa awapokea Wanachama 35 Kutoka CHADEMA, UDP, CHAUMMA na ACT-Wazalendo

    Mgombea ubunge Jimbo la Bariadi Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Masanja Kadogosa amewapokea wanachama kutoka vyama mbalimbali vya upinzani ambao wamejiunga na CCM wakati akinadi sera zake katika Kata ya Sapiwi Wanachama hao wanatoka Chadema, ACT- Wazalendo, UDP pamoja na CHAUMMA...
  9. R

    GE2025 Mgombea Udiwani CCM Kata ya Vibaoni, Marry Chambuya awaahidi wananchi kupata Stendi na Barabara za Mitaa

    Mgombea udiwani kata ya Vibaoni halmashauri ya Mji Handeni mkoani Tanga Marry Chambuya amewaahidi wananchi wa eneo hilo endapo watampa ridhaa ya kuwa diwani wao kwa kumchagua,atasimamia kupatikana kwa kituo cha mabasi jambo ambalo ni moja ya changamoto yao Akizungumza kwenye mkutano wake...
  10. R

    GE2025 Paresso: CCM ndiyo Chama kinachoweza kuongoza nchi hii

    Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Cecilia Paresso amesema kutokana na utekelezaji wa miradi ya maendeleo uliofanywa na CCM, chama hicho kinakuwa chama pekee kinachofaa kuendelea kuongoza nchi Paresso ambaye alikuwa mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha na kwa muda mrefu kada wa CHADEMA kabla ya...
  11. R

    GE2025 Mapokezi ya Rais Samia Ndanda-Mtwara, MC anaendelea kuweuka

    Jaribu kukadiria ni kiasi gani huyu MC atakuwa amelipwa, kama ulifuatilia Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Tunduru Mkoa wa Ruvuma utaona huyu jamaa ndo alikuwa MC Ingekuwa vyema pia akiweuka akili kidogo kwa kupambania Maslahi ya nchi yake na siyo kupamba mtu anayesimamia kuporomoka...
  12. GE2025 Salma Kikwete: Samia ameweka elimu bure mpaka kidato cha sita nani kama Samia?

    “Hakuna kitu muhimu kama Elimu, Mama Samia kwa kutambua hilo ametoa ada zote kuanzia ngazi ya awali mpaka kidato cha Sita, Nani kama Samia..?”
  13. R

    GE2025 Jenista Mhagama: Ruvuma hatuna mba mba mba, tutampa Samia Kura kwa Kishindo

    Akizungumza na waandishi wa habari katika Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma Septemba 22, 2025 Mgombea ubunge Jimbo la Peramiho kupitia CCM, Jenista Mhagama, amewataka wananchi wa Ruvuma kuendelea kumuunga mkono Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kile alichokiita kasi ya...
  14. R

    GE2025 Wananchi Songea: Uchaguzi upo na Oktoba Tunatiki kwa Samia

    Baadhi ya wananchi wa Mji wa Songea Mkoa wa Ruvuma wakitoa maoni yao kuhusu uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025 uchaguzi wa Rais, wabunge pamoja na madiwani Wengi wao wameonyesha kumkubali Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan wakieleza yale...
  15. R

    GE2025 Kwaiyo Waziri Jenista Mhagama na kundi lake walipiga Magoti hadi Rais Samia alipomaliza kuhutubia? kweli Tonge tamu

    Nikiwa mwanafunzi Shule ya Msingi adhabu kubwa tuliyokuwa tukipewa kama wapiga kelele ilikuwa kupiga magoti kwenye kokoto alafu ni kwenye jua, nilidhani ni kwa sababu sisi ni watoto ndo maana tunapewa adhabu hiyo ila leo katika umri huu wa utu uzima naona ndugu zake Lucas Mwashambwa wanasujudu...
  16. R

    GE2025 Hemed : Hao wanaosimama kuwatukana Kiongozi mbona wao hawatoki wamo kwenye serikali hiyohiyo, CCM itashinda na Rais ataapishwa

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kiwani kupitia Chama cha Mapinduzi, Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na wananchi katika Mkutano wa ufunguzi wa Kampeni za CCM ndani ya Jimbo la Kiwani uliofanyika katika Uwanja wa Kwareni Muwambe, Wilaya ya Mkoani Pemba, amewaomba wananchi kumpa kura ili aweze...
  17. GE2025 Haya ni mapenzi kwa CCM au kujidhalilisha?

    Mgombea wa kiti Cha Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyowasili katika uwanja wa Veta Songea Mkoani Ruvuma Kwaajili ya kuzungumza na wakazi wa eneo hilo ikiwa ni muendelezo wa Mikutano yake ya Hadhara ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025
  18. R

    GE2025 Kundo: Rais Samia ni kiongozi mwenye dhamira ya kweli, amebeba matamanio ya Watanzania, kwa miaka mitano ameongea kwa vitendo

    Septemba 21, 2025 Mamia ya wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na makada wa chama hicho wakiongozwa na mgombea ubunge wa jimbo la Bariadi mjini, Kundo Andrew Methew wamefanya maandamano ya amani kwa lengo la kuhamasisha wananchi kumchagua rais Samia Suluhu hassan kutokana na utekelezaji wa...
  19. GE2025 Samia: Tutajenga reli ya kilomita 1,000 ambayo itapita kwenye maeneo ya Liganga na Mchuchuma

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya awamu ya sita imeanza mpango wa ujenzi wa reli ya zaidi ya Kilomita 1,000 kutoka Mtwara mpaka Mbamba Bay mkoani Ruvuma. Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya...
  20. GE2025 Wasira: Mchagueni Samia. Yuko tayari kutumia juhudi binafsi kuleta maendeleo

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira miongoni mwa sababu za Watanzania kymchagua Mgombea urai wa CCM Dk. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na uwezo wake kutumia juhudi binafsi kuleta maendeleo ya Watanzania. Aidha, kupitia CCM chini ya Dk. Samia, Watanzania...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…