Ndg zangu nimekutana na taarifa hii muhimu ya Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila kwakweli nimeshtuka kidogo na kujiuliza huyu bwana anajiamini nini kukubali kukabiliana na hawa wasomi?
Kwa wale wachache wanayo ifahamu vizuri historia ya Taifa...