jumuiya ya wazazi ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    PostGE2025 Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM Dodoma, Samuel Malecela: Kutukana viongozi wa dini sio adabu. Tunapovaa kijani tunaonekana wote tunatukana

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Samuel Malecela, amekemea vikali tabia ya kuwatukana Viongozi wa Dini, akieleza kuwa ni ukosefu mkubwa wa adabu, maadili na ustaarabu usiovumilika katika jamii. Amesisitiza kuwa hakuna sababu wala tofauti za maoni...
  2. Z

    DOKEZO Watumishi zaidi 80 Shule ya Sekondari Meta hawajapokea mishahara na marurupu yao

    Shule ya Meta secondary iliyopo mkoa wa Mbeya inayomilikiwa na CCM kupitia jumuiya ya wazazi imezulumu watumishi wake pesa za mishahara na marupurupu mengine zaidi ya watumishi 80 wanahaha kuzipata pesa zao bila mafanikio wanaishia kutishia ili wasidai pesa zao Na kwa sasa idadi ya wanafunzi...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Catherine Joachim Aibuka Mshindi wa Ubunge Tanzania Bara Katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Wazazi CCM

    Jumuiya ya wazazi ya chama Cha Mapinduzi (CCM) imetangaza matokeo ya uchaguzi wa wabunge na wa wakilishi wa Jumuiya hiyo huku Catherine Joachim akijinyakulia ushindi kwa nafasi ya ubunge Tanzania Bara kwa kujizolea kura 597 akifuatiwa na mpinzani wake wa karibu Khadija Shabani aliyepata kura...
  4. Waufukweni

    GE2025 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa: Watia nia wameanza kuchafuana, wanatuchafua mpaka viongozi

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Fadhil Maganya, amesema baadhi ya watia nia wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho, hasa ubunge, wamekuwa wakieneza tuhuma za uongo dhidi yake ili kujipatia nafasi hizo. Akizungumza katika mazishi ya Jackson Yuma, aliyekuwa Mwenyekiti wa Jumuiya...
  5. Just Pray

    TANZIA Mjumbe wa Baraza la Jumuiya ya Wazazi CCM Masasi, Edwin Kasembe afariki dunia ghafla katika nyumba yake

    Mjumbe wa Baraza la Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Masasi, Ndugu Edwin Stevin Kasembe, ameaga dunia ghafla katika nyumba yake, mtaa wa Masasi Mbovu, Masasi Mjini. Kasembe, ambaye pia aliwahi kuwa Diwani mstaafu wa Kata ya Namwanga, amefariki akiwa nyumbani kwake, na kifo chake kimeacha simanzi...
  6. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Katibu wa jumuiya ya wazazi CCM: Madiwani rudini kwa wananchi muwaeleze mlichofanya

    Katibu wa jumuiya ya wazazi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Hilary Kipingi amewataka madiwani wote katika wilaya hiyo kuhakikisha wanaandaa mikutano kuwaeleza wananchi mambo waliyoyatimiza katika kipindi chao cha uongozi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Jumuiya ya Wazazi CCM Jimbo la Mchinga yadaiwa kumchangia laki moja ya kuchuka fomu Mama Salma Kikwete kugombea Ubunge

    Jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi CCM Jimbo la Mchinga imemuunga mkono Mbunge wa Jimbo hilo mama Salma Rashid Kikwete kwa kumchangia Fedha kiasi cha shilingi laki moja zitakazomsaidia kwenda kuchukua fomu ya kugombea Ubunge muda utakapofika. Makabidhiano hayo yamefanyika Katika ofisi ya...
  8. Mindyou

    PreGE2025 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Fadhili Maganya: CCM imejiandaa kwa Uchaguzi, No Reform No Election haituhusu

    Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi CCM imesema bila kujali kauli ambazo zinatolewa na vyama vingine, Wao wapo tayari kwa uchaguzi na wamejiandaa vilivyo. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa (CCM) Fadhili Maganya amesema hayo jijini Arusha katika mkutano na waandishi wa habari kuelekea...
  9. Mindyou

    PreGE2025 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa: Watia nia CCM wasitumie majina ya viongozi wakubwa kutafuta kura

    Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Fadhili Maganya, amewataka baadhi ya watia nia wa nafasi za uongozi kupitia chama hicho kuacha kuwadanganya wananchi kwa kudai wamepewa maelekezo kutoka juu ya kugombea. Amesisitiza kuwa madai hayo ni kinyume na utaratibu wa chama, na...
  10. Just Pray

    Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi CCM Ileje adaiwa kuuawa

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Chitete wilayani Ileje, mkoani Songwe, Harison Mwampashi (62) amefariki dunia baada ya kudaiwa kuuawa na watu wasiojulikana. Mwenyekiti wa kijiji, hicho Joseph Mwashitete amesema tukio hilo lilitokea jana Jumatano Machi 12...
  11. W

    PreGE2025 Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi CCM Fadhili Maganya amesema CCM kimejipanga kupata ushindi wa haki mwaka huu

    HAwa jamaa kumbe huwa wanajua hawashindagi kwa haki bhana eti wanadai mwaka huu watashinda kwa haki. Haki gani sijui wananzungumzia ==== MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, Fadhili Maganya amesema CCM kimejipanga kupata ushindi wa haki katika uchaguzi Mkuu mwaka huu...
  12. W

    PreGE2025 Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi CCM- Mhandisi James Jumbe, ajinasibu kuwa CCM itashinda 2025

    Yani kila mwaka CCM sera zao ni maendeleo sekta ya afya na elimu, miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado sera zao wanazoona zitawapitisha ni kama za miaka ya 70 huko. Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ===...
  13. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Jumuiya ya wazazi CCM Njombe yawanoa Mavanga sec juu ya maadili

    Naona sasa wamendelea kutia nguvu katika harakati zao za kampeni mpaka mashuleni sasa si ndiyo? ================== Tabia za wazazi Wengi kushindwa kuwalea watoto katika malezi yenye maadili mema imetajwa kuendelea kuliingiza Taifa kwenye misukosuko na mmomonyoko wa maadili kwa watoto wanaoweza...
  14. M

    Rais Samia, Umoja wa wanawake wa CCM na Jumuiya ya wazazi mnapata wapi nguvu ya kufumbia macho kauli ya Chalamila?

    Kwa kweli inashangaza jinsi CCM ilivyogeuka na kuwa chama kisichojali habari za wananchi. Inashangaza nchi hii ina Rais mwanamke, ina Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) ina jumuia ya wazazi lakini leo hii wote hao wanashindwa kutoa kauli kukemea kauli ya kifedhuli, ya kibaradhuli na ya kibri...
  15. C

    DOKEZO Ufisadi Mitihani Shule za Wazazi CCM

    Kwa miaka 3 sasa shule za wazazi-CCM zimekuwa zikifanya mitihani ya kitaifa. Zoezi hili limekuwa na ufanisi na limezirudisha shule za CCM kwenye ufaulu mzuri. Hata hivyo kuondoka kwa Katibu Mkuu, Gilbert Kalima kumekuwa pigo kubwa sana kwa shule za wazazi na CCM. kwa sasa shule zimebakia...
Back
Top Bottom