Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiwa Pamoja na Naibu Waziri wa Elimu Mheshimiwa Wanu Hafidhi Wameweza kukutana na kufanya Mazungumzo na Viongozi wa Jumuiya ya wanafunzi wa Elimu ya juu.
Ambapo...
Wakuu,
Rais wa TAHLISO Bw Godfrey Kiliba amesema jumuiya hiyo haitashiriki wala kuunga mkono maandamano yasiyo na ukomo yaliyopangwa kuanza Desemba 9, 2025, akitoa msimamo huo leo Desemba 7 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.
TAARIFA KWA UMMA
Wizara ya Habari, Sayansi na Teknolojia inapenda kuujulisha umma wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam mambo yafuatayo;
1. Wizara inapenda kuwatahadharisha wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kuwa ni marufuku kwa mwanafunzi yoyote yule kutoa taarifa ambayo haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.