Kutoka mitandaoni, mwaka huu CCM maji wataita mma, CCM wanajitengenezea matatizo
Nimekutana na hii video, Kumbe LATRA walisema wataenda na Police?, mwenye video ya Henche anavoelezea Tanzania mapolisi kujazana Dar aweke hapo chini.
Pia tunaomba anayemfahamu huyu mmliki wa MOFAT ni nani...