Jokate Mwegelo is the District Commissioner for Kisarawe. She is a politician. Before being appointed, she was an entrepreneur and a media personality. In July 2018, the President of the United Republic of Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli appointed Hon. Jokate Mwegelo as the new District Commissioner for Kisarawe district in Pwani region. She is a member of Chama Cha Mapinduzi, previously served as Secretary in charge of Public Relations and Mobilization UVCCM - youth wing of Chama Cha Mapinduzi.
She is one among Tanzania's youngest influential leaders and entrepreneurs. In 2017, Hon. Mwegelo was included in Forbes 30 Under 30 in Africa. In August 2017 she was named by Africa Youth Awards among the 100 Most Influential Young Africans. The 2018 Most Influential Young Tanzanians by Avance Media place her as the third most influential young Tanzanian and the most influential young Tanzanian under the category of Law and Governance .
Huyu Binti alijivika uchawa kiasi cha kuivuka level ya uchawa na kusimikwa rasmi kama kalikonji wa samia, alikua mstari wa mbele kumpigia debe samia,
Nakuwapa vitisho waaandamanaji. Nataka kujua kama samia kamkumbuka katika serikali yake batili ya mpito
HUYU NDIYE JOKATE MWEGELO – KIONGOZI, MWANASIASA NA MWANAMKE SHUPAVU
Jokate Urban Mwegelo ni mmoja wa wanawake mashuhuri wa kizazi kipya nchini Tanzania ambaye amejipambanua kwa namna ya kipekee katika nyanja mbalimbali kama ubunifu wa mavazi, uandishi wa habari, uongozi, siasa na harakati za...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo, amesema vijana wanapaswa kuendeleza misingi ya ujamaa, amani, upendo na mshikamano hata baada ya kukamilika kwa uchaguzi wa wabunge wa viti maalumu ndani ya jumuiya hiyo.
Ametoa wito kwa vijana wa CCM kutambua kuwa...
Habari
Rejea SoMo hapo juu kuhusu hii shule.
Wanafunzi wanapopangwa shule za serikali baada ya matokeo darasa la Saba kuna makundi haya.
1. Vipaji maalumu
2. Mbweni
3. Teule
4. Kitaifa
Ufafanuzi je JOKATE MWEGELO SECONDARY SCHOOL inaangukia kundi lip?
Naomba ufafanuzi
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo ameteuliwa na Askofu John Chrysostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kuratibu upatikanaji wa fedha na vifaa kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Likonde Seminari ambapo KM...
Jokate Mwegelo amewataka Vijana ambao hawajiamdikisha kwenye daftari la Mpiga kura kwenda kujiandikisha ili waweze kufanya maamuzi ya kuchagua viongozi wanaowataka ili kuwakeletea maendeleo
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Jokate Mwegelo ameongoza matembezi ya Maelfu ya Vijana ambao pia ni Wapiga Kura wapya katika uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 (Samia First Time Voters), ambapo matembezi hayo yameishia Katika ukumbi wa JNICC Jijini Dar es...
*JOKATE NI NGUVU MPYA YA USHINDI WA CCM 2025
*
Kalamu ya: Mrisho H. Kamba – Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Wazazi CCM Taifa
Ndugu Jokate Urban Mwegelo,
Salamu nyingi za pongezi na heshima nyingi kwako. Natumaini ujumbe huu unakufikia ukiwa na afya njema na ari ileile ya kuwatumikia Watanzania...
Wakuu,
Wananchi wa Wilaya ya Tanga Mkoani Tanga wamejitokeza kwa wingi kushiriki matembezi ya pamoja yaliyoongozwa na Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kumpokea Rais Samia anayetarajiwa kuwasili mkoani humo leo Februari 23,2035 kwa ziara ya kikazi...
Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari...
Wakuu,
Mkuu wa UVCCM Taifa Jokate Mwegelo amesema Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kwamba Tanzania ina demokrasia kwasababu hadi sasa hakuna machafuko yaliyotokea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vyama vingi vinashikiri ambapo amewataka pia Vijana ku kutothubutu kujiingiza katika...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Jokate Urban Mwegelo (MNEC) amepokelewa katika ofisi za CCM Mkoa wa Njombe leo Novemba 26, 2024 kwa lengo la kufunga Kampeni Uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji zitakazofanyika Kata ya Ulembwe, Wilaya ya Wanging’ombe...
Wakuu,
Ya kweli hayo?
Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
=====
Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amezindua rasmi kampeni za...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM Taifa Joketi Mwegelo amewataka vijana wa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi zijazo.
Akizungumza kwenye ziara ya siku moja akiwa Mkoani Iringa Katibu huyo mbele ya vijana amewataka...
CDE JOKATE APEWA TUZO YA UBALOZI WA AFYA YA AKILI
31 MEI, 2024
UVCCM HQ
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) - Cde. Jokate Urban Mwegelo apewa Ubalozi wa afya ya akili kutoka Hospitali ya Taifa ya Afya ya akili Mirembe leo Mei 31,2024 jijini Dodoma ambapo...
Tukatae watu wanaotaka kumdhoofisha mwenyekiti wetu (Wa Chama Cha Mapinduzi Taifa) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ameongeza kuwa kwa mara ya kwanza Tanzania imefiwa na Rais akiwa madarakani, ingeikuwa nchi nyingine basi pangechimbika, lakini kwa Tanzania...
📌📌KOMREDI JOKATE MWEGELO (MNEC) AAINISHA MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA SEKTA YA ELIMU ZANZIBAR
Asema Vijana wanayo kila Sababu ya Kumuunga Mkono Dkt. Mwinyi
Mambo Mengi makubwa Dkt. Mwinyi ameyafanya kwa Kipindi Kifupi
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Konresi Jokate...
SALAMU ZA PONGEZI KWA JOKATE MWEGELO ( KATIBU UVCCM - TAIFA )
Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
Uteuzi wa Jokate kuwa Katibu wa UVCCM ulinisisimua kiasi cha kushindwa kulema lolote kwa kipindi tangu alipoteuliwa.
Jokate ni kiongozi mwenye mvuto mkubwa kwa wananchi wa kawaida, kutokana n...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.