jimbo la isimani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tpaul

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Katika kuonesha ari ya kupokea kijiti cha baba yake na kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo la Isimani, mtoto wa marehemu William Lukuvi (Brenda Lukuvi) anatarajia kuchukua fomu ya kuwatumikia wapigakura wa jimbo la Isimani. Jimbo hili limekuwa likishikiliwa na baba yake kwa zaidi ya miaka 30...
  2. figganigga

    Jinsi Barabara za jimbo la Isimani zilivyo mbovu, sidhani Samia kama ataenda kumzika Wiliam Lukuvi🤣🤣

    Sasa Tanzania inaenda kushuhudia aibu ya Karne Miundombinu ya Isimani ni mibovu. Ndo kielelezo cha Uongozi wa CCM. Kila mwenye akili timamu atahoji William Lukuvi kaifanyia nini Isman kwa miaka 30? Bora kafa ili dunia ikashuhudua Viongozi wetu wqnaodaiwa ni mfano wa kuogwa, wanavyo wasaliti...
  3. K

    Jimbo la Isimani, Iringa tunasema Festo Kiswaga anatosha kuwa mrithi wa Lukuvi

    Hata Ole Sosopi wa CHADEMA, anamkubali Sana Festo Kiswaga. Safari hii Tunaomba Halmashauri Kuu ya Chama ngazi ya Wilaya, Mkoa, Taifa na Kamati Kuu ya CCM msifanye makosa kutuletea mtu mwingine. Sisi tunataka Festo Kiswaga ndiyo Chaguo Nambari One kwa Jimbo la Isimani. Asanteni Pia soma:TANZIA...
  4. Just Pray

    GE2025 Festo Kiswaga, aliyekuwa DC Monduli mkoani Arusha, achukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Isimani, Iringa

    Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, Festo Kiswaga, amejiingiza rasmi katika mbio za kisiasa kueleka uchaguzi mkuu 2025 kwa kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Isimani, mkoani Iringa, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwanasheria David Komba atangaza kugombea ubunge jimbo la Isimani

    DAVID Evance Komba ambaye ni Mwanasheria kitaaluma na mzaliwa wa Kijiji cha Lwang’a kata ya Kihorogota tarafa ya Isimani katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, amevunja ukimya na kutangaza nia ya kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Isimani kwa tiketi ya Chama...
Back
Top Bottom