jenerali muhoozi kainerugaba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Asante sana Jenerali Muhoozi Kainerugaba

    Mkuu usije ukadhani upo peke yako ambaye haufurahishwi na tabia za hao watu wanaojiona dunia ni ya kwao peke yao tu. Angalau sasa tuna mtu ndani ya Afrika anayethubutu kuwapa 'shit' moja kwa moja. Kuna jasiri mmoja alijilipua juzijuzi hapa akawaambia 'who are you?, lakini wewe unakandamiza...
  2. Dalton elijah

    Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amemjibu tena Seneta wa Marekani Jim Risch

    Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amemjibu tena Seneta wa Marekani Jim Risch kupitia mtandao wa X siku ya Jumanne, Februari 3, 2026, baada ya kuomba radhi hapo awali. Mzozo huu wa maneno umeibuka kati ya Uganda na Marekani baada ya Muhoozi kuchapisha na baadaye kufuta...
  3. R

    Jenerali Muhoozi amtaka Bobi Wine kujisalimisha Polisi ndani ya saa 48

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Uganda (UPDF), ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, amempa aliyekuwa mpinzani mkuu wa Museveni katika Uchaguzi Mkuu wa Uganda uliofanyika Januari 15, 2026, Bobi Wine, saa 48 ajisalimishe kituo cha polisi. Taarifa hiyo imetolewa kupitia ukurasa wake wa mtandao...
  4. M

    Uganda yasitisha ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani, yamtuhumu Balozi kwa uchochezi

    Jeshi la Uganda limetangaza kusimamisha ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani, likimshutumu Balozi wa Ujerumani nchini humo, Matthias Schauer, kwa madai ya kuhusika katika vitendo vya uchochezi. Hatua hiyo imechukuliwa huku UPDF ikidai kuwa baadhi ya balozi kutoka Ulaya wamekuwa wakiunga mkono...
  5. B

    Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amewasili Kigali

    20 March 2025 Kigali, Rwanda Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Uganda (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amewasili Kigali, Rwanda. Picha : Muhoozi Jenerali Kainerugaba alipowasili Kigali Jenerali Kainerugaba amepangwa kufanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Jeshi la Ulinzi la...
  6. mwanamwana

    Jenerali Muhoozi Kainerugaba: Ofisi yangu kuanza kufanya ukaguzi wa vyombo vyote vya habari nchini

    Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mshauri Mkuu wa Rais wa Uganda kuhusu Operesheni Maalum, hivi karibuni alitangaza kuwa ofisi yake itaanza kufanya ukaguzi wa vyombo vyote vya habari nchini, kwa mujibu wa maelekezo ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais Yoweri Museveni. Muhoozi alisema kuwa wakurugenzi wakuu wa...
  7. ChoiceVariable

    Gen.Muhoozi: Hakuna Raia Atawahi Kuwa Rais Uganda

    My Take Na 🇹🇿 ilitakiwa kusema hakuna Mpinzani Atakuwa Rais bila kupepesa macho.👇👇 Mkuu wa Jeshi la Uganda, ambaye pia ni mtoto wa kiume wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema hakuna raia atakayeiongoza Uganda kwakuwa hilo ni jukumu la wanajeshi au polisi wa...
Back
Top Bottom