jaji mkuu masaju

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Jaji Mkuu Masaju usikubali ushetani, maliza kesi ya Lisu kwa haki. Heshima yako itasimama milele kwa jinsi ulivyo handle kesi ya Lisu

    Itende HAKI na HAKI itakutenda Milele. Ikatae pressure ya Executive, tenda Haki na nenda zako, usisubiri shukrani au cheo toka Executive. Mtendee Lisu HAKI NA WALA SI UPENDELEO Siku 40 or so kweli CoA haiwezi kukaa na kutolea maamuzi pingamizi la serikali? Muhukumuni kwa haki hata kama...
  2. Jaji Mkuu Masaju: Heshima haitokani na cheo bali kwa huduma unayoitoa kwa Wananchi

    Jaji Mkuu, George Masaju ameyasema tarehe 04 Machi, 2026 mara baada ya zoezi la uapisho wa Mahakimu hao lililofanyika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini Dodoma.
  3. Jaji Mkuu Masaju nae halijui hili?

    Kama Jaji na hakimu wakiamua kesi kwa haki na haki imeonekana ikitendeka mbele ya jamii, kazi ya Jaji na hakimu itakuwa kazi kama kazi nyingine tu. Hakuna haja ya hofu kwa majaji. Ujira mdogo hauathiri utoaji haki kwa majaji na mahakimu tu bali hata kwa wafanyakazi wa fani zote. Huwezi kuwa...
  4. Jaji Mkuu Masaju: Majaji na Mahakimu wawezeshwe kuishi maeneo salama na yenye hadhi kama ilivyokuwa zamani

  5. Jaji Mkuu Masaju: Majaji na Mahakimu wanapaswa kujitosheleza kimamlaka na kiuchumi

    Jaji Mkuu George Mcheche Masaju akizungumza wakati Rais Samia Suluhu kufungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma, leo Januari 13, 2026.
  6. R

    Jaji Mkuu Masaju: Nani anasema Mahakama Tanzania haiko huru?

    JAJI MASAJU AKEMEA VITENDO VYA KUIKASHIFU MAHAKAMA, "NANI ANASEMA MAHAKAMA HAIKO HURU" Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju hii leo Disemba 05, 2025 ameonya kuwa tabia ya kuisema vibaya Mahakama kwa Umma kuwa haitendi haki wakati watu hao wakiwa wameshindwa kesi inalenga kuichafua Mahakama...
  7. R

    PostGE2025 Jaji Mkuu Masaju: Nani anasema Mahakama haipo huru? hii akili ya hovyo we won't entertain this

    Nimeona imezuka tabia ya hovyo sana; wakishinda kesi wanasema mahakama iko huru na wanaisifia, lakini siku wakipoteza kesi wanasema mahakama haiko huru. Nani anasema mahakama haiko huru? Hii ni akili gani? Mnataka kushinda kesi kwa ku-blackmail mahakama? Hatutakubali.” Hayo ni maneno ya Jaji...
  8. Jaji Mkuu Masaju: Mahakimu, Mungu hadhihakiwi nendeni mkaviishi viapo vyenu

    Mzee Masaju tangu amekuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, ameonyesha wazi apendezewi na baadhi ya mambo yanaendelea kwenye mahakama. Amekuwa akiwapa ukweli watendaji wote wa mahakama. Safi sana na kila la kheri kwenye kazi zako Licha wanaweza kujitokeza wanamtandao wakaanza kukuletea habari...
  9. GE2025 Jaji Mkuu Masaju: Tutafanya marekebisho kwenye kanuni za Uchaguzi kabla ya tarehe ya Uchaguzi

    Wakuu, Mafunzo ya Namna Bora ya Uendeshaji wa Mashauri ya Uchaguzi yaliyokuwa yakitolewa kwa Majaji, Naibu Wasajili na Mahakimu Wakazi Wafawidhi wa Mahakama za Hakimu Mkazi na za Wilaya nchini yamehitimishwa leo, huku Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. George Masaju akishauri kwamba Kanuni...
  10. Jaji Mkuu Masaju: Mishahara ya Majaji ni duni sana, hawana fursa kama mihimili mingine ya dola

    Jaji Mkuu wa Tanzania George Mcheche Masaju akifungua Mkutano wa Tisa wa Kamati ya Utatu (Tripartite Users Committee) kwenye ukumbi wa PSSSF TOWER - Mawasiliano jijini Dar es Salaam, leo 25 Agosti, 2025 amesema, "Kwa sasa, kuna Majaji wanahangaika, Mafao yao hawalipi, wanaleta na vikwazo ambavyo...
  11. Jaji Mkuu Masaju: Tungependa hata kile kikotoo kirudi kwa watumishi wa Serikali Kuu kama ilivyokuwa

    Jaji Mkuu wa Tanzania George Mcheche Masaju akifungua Mkutano wa Tisa wa Kamati ya Utatu (Tripartite Users Committee) kwenye ukumbi wa PSSSF TOWER - Mawasiliano jijini Dar es Salaam, leo 25 Agosti, 2025 amesema angependelea utaratibu wa Kikokotoo kwa Watumishi wa Serikali Kuu kirudi kama...
  12. Jaji Mkuu Masaju: Kitu mnachoweza kumaliza kwa siku 2 mnasema mpaka miezi 4. Kauli ya mbiu ya haki sawa kwa wote kwa wakati ifuteni

    Wakuu, Akizungumza jana Agosti 18 kwenye katika ufunguzi wa kikao kazi cha taasisi, zinazounda utatu Jaji Mkuu George Masaju ametaka mahakama kuwa na utaratibu wa kumaliza kesi zilizoko mahakamani mapema iwezekanavyo na kuacha kuahirisha ovyo bila sababu za msingi "Haki sawa kwa wote mapema...
  13. GE2025 Jaji Mkuu Masaju ndio atamuapisha Rais Dr SSH kuongoza tena 2025-2030

    Endeleen kupiga makelele ya Wagombea wawe watatu, Mmoja au wawili ila ni Mheshimiwa Jaji Mkuu Masaju atakayemuapusha Mheshimiwa Dr SSH kuwa Rais wa JMT 2025-2030 baada ya ushindi mnono. Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable FaizaFoxy Mpwayungu Village
  14. M

    Rais Samia amteua Jaji George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani Mheshimiwa George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Mheshimiwa Masaju anachukua nafasi ya Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu. Uapisho wa Jaji...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…