1. Aliemteua mwenyewe pia hatoshi kwenye hicho cheo.
2. Mwigulu ni bingwa wa kujipendekeza na kulamba viatu.
3. Mwigulu ni "yes man", hana gut ya kuhoji maelekezo yoyote, na viongozi ambao ni incompitance wanawapenda "yes men" kwa maana hawawachalenge kwenye maamuzi yoyote. Hawa ndio...