huduma za jamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Video: Walipa kodi wanavyoteseka na huduma za jamii

  2. Bajeti ya TAMISEMI 2025/26 yaongezeka kwa asilimia 16.38, yatengwa trilioni 11.783 kuboresha huduma na miundombinu

    Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepitisha kwa kauli bajeti ya TAMISEMI shilingi trilioni 11.783 kwa mwaka 2025/26, ikiwa ni ongezeko kutoka trilioni 10.125 mwaka 2024/25 imeongezeka kwa takribani asilimia 16.38 ikilinganishwa na mwaka wa fedha uliopita. Bajeti hii inalenga...
  3. Lissu: Tathmini ya Miaka 64 ya Uhuru: Mafanikio ya Awamu ya Sita Katika Kuimarisha Uchumi, Miundombinu na Huduma za Jamii.

    Tathmini ya Miaka 64 ya Uhuru: Mafanikio ya Awamu ya Sita Katika Kuimarisha Uchumi, Miundombinu na Huduma za Jamii.
  4. Serikali iachane na kauli ya kutoa bure huduma za jamii, inapumbaza

    Hii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu. Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada...
  5. Huduma gani ikitolewa bure na Serikali haitaathiri uchumi wetu?

    Kwangu mimi ni hizi hapa 1. Vipimo vya afya 2. Maji Ni mawaza yangu tu
  6. A

    KERO TANESCO Kibondo wanakata umeme zaidi ya saa 12 bila taarifa. Kama kuna mgao watujulishe

    TANESCO KIBONDO NI KERO Leo ni siku ya 3 sasa, hawa TANESCO wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wanakata umeme kwa zaidi ya saa 12 bila taarifa yoyote. Je, ni mgao umeanza tena tujue? TANESCO
  7. K

    KERO Baadhi ya maeneo Kigoma hakuna maji zaidi ya wiki

    Maeneo ya Kazegunga, Msimba, Kasaka hawana maji zaidi ya wiki. Watu hutumia maji ya visima ambayo si salama kwa afya ya binadamu. Ziwa liko km 10 tu lakini maji hayatoki. Wahusika wachukue hatua mara moja kuondosha kero hii.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…