Swali kwa Mh Waziri wa maji,
Kuna shida gani mpaka leo maji hayajaunganishwa majumbani wakati tenki lipo tayari, mashine ipo tayari, mabomba makubwa yameshasambazwa mitaani, Wananchi tunalazimika kwenda kufata maji mbali kwa watu wanaouza.
Pia Rais Samia alishawahi kupita na kutuambia Wananchi...