Habari zenu wakuu,
Nlikuwa na mzigo natakiwa nitume nnje, option yangu ya kwanza ilikuwa nitume na DHL lakini kunasiku kwenye mishe zangu nikapita mahali nikaona office za Posta nikashawishika kuingia na kufanya udadisi wa huduma zao.
Yule dada wa posta akanambia wanahuduma ya EMS inafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.