Grena
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 657
- 1,541
Habari zenu wakuu,
Nlikuwa na mzigo natakiwa nitume nnje, option yangu ya kwanza ilikuwa nitume na DHL lakini kunasiku kwenye mishe zangu nikapita mahali nikaona office za Posta nikashawishika kuingia na kufanya udadisi wa huduma zao.
Yule dada wa posta akanambia wanahuduma ya EMS inafanya Kazi Kama DHL mzigo utatrackiwa na utafikishwa moja kwa moja Hadi mlangoni kwa mteja.
Akanitajia gharama per grams, Yani wako very cheap. DHL walinambia laki na arobaini wao Ni elfu sabini. Nikasema ngoja nijaribu huduma zao nione zipoje.
Nimefurahishwa Sana within 2 weeks mzigo ushafika kwa Bei cheeeee.
Hongereni Posta, Endeeleni kutoa huduma nzuri.
Nlikuwa na mzigo natakiwa nitume nnje, option yangu ya kwanza ilikuwa nitume na DHL lakini kunasiku kwenye mishe zangu nikapita mahali nikaona office za Posta nikashawishika kuingia na kufanya udadisi wa huduma zao.
Yule dada wa posta akanambia wanahuduma ya EMS inafanya Kazi Kama DHL mzigo utatrackiwa na utafikishwa moja kwa moja Hadi mlangoni kwa mteja.
Akanitajia gharama per grams, Yani wako very cheap. DHL walinambia laki na arobaini wao Ni elfu sabini. Nikasema ngoja nijaribu huduma zao nione zipoje.
Nimefurahishwa Sana within 2 weeks mzigo ushafika kwa Bei cheeeee.
Hongereni Posta, Endeeleni kutoa huduma nzuri.