Hawa Subira Mwaifunga (born 27 March 1976) is a Tanzanian politician and a member of the CHADEMA political party. She was elected as a member of the Special Seats as women representative and serves as member of parliament since 2020.
Mbunge Mteule wa jimbo la Tabora mjini kupitia CCM Hawa Subira Mwaifunga amewashukuru wakazi wa Tabora mjini kwa imani yao na mapenzi makubwa waliyoyaonyesha kwake baada ya kushinda na kutangazwa kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka mitano (2025-2030);
Ambapo ameahidi kwenda kuwa...
Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia Chama cha Mapinduzi Hawa Mwaifunga leo Oktoba 7,2025 ameendelea na mikutano ya Kampeni kusaka kura za kuwa Mbunge wa Tabora mjini.
Mwaifunga akiwa katika kata ya Uyui amewataka Vijana kuchangamkia fursa za ajira katika viwanda ambavyo vitajengwa...
Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Hawa Mwaifunga akiongea katika mkutano wa Kampeni katika kata ya Tambukareli amewaomba Wananchi wa kata hiyo kumpigia kura awe mbunge akasimamie ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2025/30.
Mwaifunga amesema kuwa kupitia ilani ya...
Mbunge wa viti maalumu Mhe. Hawa Mwaifunga ameziomba halmashauri kuangalia njia bora za kufanya marekebisho katika baadhi ya shule ili zirudi katika ubora wake ili kuepusha maafa kujitokeza.
Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea...
Ni Hawa Mwaifunga(Mrs Bananga) ametoa Kali na Siri iliyoko moyoni mwake Kwa Kujitambulisha kwamba ni mwana CCM.😁😁
---
Mbunge wa Viti Maalum, Hawa Mwaifunga ameibua shangwe bungeni jijini Dodoma baada ya kutumia maneno "Wana-CCM wenzangu," katika maelezo yake wakati akichangia bajeti ya Wizara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.