Katika mtaa wa Sikukuu, hali ya mazingira imeendelea kuwa mbaya kufuatia chemba za maji machafu kujaa na kutema maji yenye uchafu kama inavyoonekana kwenye picha hapa, hali iliyosababisha maji hayo kuingia barabarani na maeneo ya kufanyia biashara. Maji hayo yamechanganyika na taka zilizokuwa...
Je wajua? Ulaaji usiofaa unaweza kuongeza hatari ya matatizo ya moyo 😟
“Chips yai na soda baridi sana” 🔥
Hivi vitu vinaongeza mafuta mabaya (kolesteroli) mwilini na vinaweza kuziba mishipa ya damu.
Kwa mujibu wa WHO, kati ya vifo 5, vifo 4 vinahusishwa na magonjwa ya moyo.
Mshtuko wa moyo...
Nimesikitika sana sana
Jana nikitokea kwa mathias
Nkashuka mbezi mwisho
Nipunguze maji kidogoooop
Ajabu uwiii choo cha kwanzaa nakuta mzigoo wa chookikubwa unaelea nkahamia kwingine same
Nkahamia kwingine nkakuta hakina mzigo nikakojoaaaa ajabu nataka kujifungia uwiiii aisee hataree vyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.