Staa mwenye Bongo Fleva yake, Harmonize kwenye Exclusive Interview na AMPLIFAYA ya CloudsFM, ameeleza wazi kwamba aliachana na Mchumba wake Mwigizaji Kajala miezi mitatu iliyopita na kwamba sio jambo analojivunia ndiyo maana amekuwa kimya.
Konde Boy ameongea haya wakati wa mahojiano hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.