Online media zimekuwa na mchango mdogo katika Ukuaji wa maendeleo ya siasa na uchumi kwa ujumla hapa nchini.
Nafikiri inatokana na uhuru wa kumiliki pamoja urahisi wa upatikanaji wa taarifa za Udaku jambo ambalo linaharibu na kubomoa reasoning capacity ya wamiliki wa media.
Unapotazama media...
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Mimi binafsi nipo tayari kumwaga damu yangu Kwa ajili ya hili taifa, najua ipo siku nitakufa kwanini niogope kifo wakati huyo atakayenishoot na yeye ipo siku atakufa pia?
Tunaona serikali inatuibia, tuzinduke usingizini tunaibiwa na wakufanya hii hali ipotee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.