Dkt. Hamis Masoud, Mkurugenzi wa kituo cha usaidizi wa kisheria (ELAF), leo tarehe 8 Desemba 2025, ametoa raia kwa viongozi waliopewa mamlaka ya kulinda raia na mali zao kujiuzulu wenyewe kutokana na kushindwa kuzuia matukio ya tarehe 29 Oktoba.
Mkurugenzi wa Kituo cha Usaidizi wa Kisheria cha Everlasting Legal Foundation (ELAF), Dkt. Hamis Masoud, amelaani vikali lugha za uchochezi wa kidini, akisisitiza kuwa kama tunakwenda kwenye hatua ya maridhiano hatupaswi kutengeneza vita mpya ya migogoro ya kidini, akisisitiza kuwa Watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.