haki za binadamu

  1. Mwanaharakati wa haki za binadamu Almaas Elman auawa Somalia

    Mwanaharakati maarufu wa mashirika ya kiraia Almaas Elman ameuawa kwa kupigwa risasi Jumatano, Novemba 20, wakati alikuwa akijiandaa kusafri kwa ndege kwenda mji mkuu wa Kenya, Nairobi ambako anaishi. Almaas Elman ameuawa wakati alikuwa akisafiri kwa gari katika eneo salama karibu...
  2. Haki Hupiganiwa na Kulindwa, Haiombwi

    Nayakumbuka maneno ya Hayati Mwalimu Nyerere pale Chuo Kikuu cha DSM siku alipoalikwa na uongozi wa wanachuo. Wakati ule kulitokea kipindupindu maeneo ya Mtwara. Serikali haikununua dawa kwa sababu haikuwa na hela. Hivyo serikali ikaagiza wananchi wazingatie usafi. Watu wakaendelea kufa na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…