gawio kwa serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lord Denning

    Kwanini hatuoni Kampuni za Jeshi zikitoa Gawio kwa Serikali? Fedha zake zinaenda wapi?

    Ukienda Dodoma, miradi mingi inatekelezwa na Kampuni ya Suma JKT. Na wanafanya miradi ile kwa kulipwa mabilioni ya fedha. Wana Kampuni ya Maji ya Uhuru ambayo inatengeneza maji na kuuza kwa kiwango kikubwa sana. Kwenye shughuli karibu zote za Serikali maji yanayogawiwa ni ya Kiwanda cha Maji...
  2. Uponyaji na uzima

    NIDA wanatengeneza hela kupitia vyanzo gani?

    NIDA wametoa gawio la bilioni 38.8 kwa serikali. Naomba kufahamu vyanzo vyao vya mapato.
  3. Lord Denning

    Kama takwimu zinadai tunaongoza kwa kupokea Watalii inakuwaje TANAPA na NGORONGORO hawajaongoza katika kutoa Gawio kwa Serikali?

    Something is wrong somewhere! Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio...
  4. Samia atosha tukutane2030

    Mashirika mengi ya umma watumishi wana hali mbaya, yet wanagawa gawio kwa serikali

    Hivi kila kilichofanyika wakati wa Magufuli ni lazima kidumishwe? Kipindi cha Magufuli wahuni wachache ili kulinda nafasi zao wakaona wamkoshe Rais kwa kutoa gawio kwa serikali. Mashirika mengi yanajiendesha kwa hasara, watumishi wana hali ngumu na wale wanaoonekana kuwa super basi wako mahali...
  5. Ojuolegbha

    Rais Samia aridhia ombi la kuwepo kwa siku maalumu kwa Mashirika ya Umma kutoa gawio kwa Serikali

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Back
Top Bottom