Wakuu naombeni ndoano nivue samak mwenyewe
Nipeni wazo niingie chimbo gani nipate Hela walau hata mkono uende kinywani
Kodi inaisha, biashara ndo imekufa hivo. Nawaza na kuwazua wapi ntapata ela ya kulihudumia tumbo langu!
Nipo dar es salaam
Habari humu ndani.
Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na wanaojua maswali yanayoulizwa kwenye interview za AJIRA MSF.
Shirika hili kwa pale Liwale linajishughulisha na mradi wa Afya ya Mama na Mtoto, sasa pia ningependa kuuliza Je maswali yao katika usaili wao yatahusisha tu Afya ya mama na...
DEADLINE EXTENDED
Position: Consultant needed for Citizenship and Leadership Academy Content Development
JamiiForums, in partnership with WiLDAF via the USAID's Wanawake Sasa Project, is seeking a Content Development Consultant to create engaging, inclusive training modules and promotional...
DEADLINE EXTENDED!
Position: Consultant Citizenship and Leadership Academy (CLA) Software Developer
JamiiForums, in partnership with WiLDAF and Her Initiative, are looking for a highly skilled Software Developer for USAID-supported Wanawake Sasa Project. This consultancy aims to create an...
Habari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.
Nipo hapa hapa Dar es Salaam...
accounting
bachelor
chuo
chuo kikuu
dar
dar es salaam
degree
fursajf
hello
kazi
kazi yoyote
kikuu
msaada
naomba
naombeni
natafuta
natafuta kazi
uhasibu
Habari wakuu
Najitokeza kuomba ajira yoyote tofauti na professional,nimehitimu shahada ya utawala wa umma( public administration) mwaka 2018 mpaka sasa nimetimiza miaka 6 nipo mtaani
Naomba mwenye nafasi anisaidie,umri wangu miaka 32 napatikana Butiama mkoani Mara.
Naomben mwenye kunisitil anisitili ndugu zangu. Pakuishi ninapo lakin sina kazi ndugu zangu
Naombeni mwenye kunisaidia anisaidie kazi yeyote tu
Asanten sana MUNGU AWABARIK SANA
Mara nyingi nakuwa niko ST Joseph nikipiga Ibada
Natumai mko wazima.
Mimi ni kijana wa kitanzania, nina shahada ya Usimamizi wa Manunuzi na Mnyororo wa Ugavi (Procurement and Supply Chain Management) pamoja na cheti katika matumizi ya kompyuta (VETA).
Ninaandika kutafuta nafasi ya kazi ambayo itanipa fursa ya kutumia maarifa yangu na ujuzi...
Habari zenu wana JamiiForums
Naomba mnisaidie natafuta kazi yoyote kahama kama kuna mtu anamtafuta mtu wa kumsaidia kwenye kazi zake kama kuuza duka au kwenye restaurant kazi kama hizo naweza na ni mchapa kazi na muamifu na nmesoma pia nna diploma ya account
Jinsia -Mwanamke
Umri-24
Job type: Full-time
TITLE:
Project Accountant (1 Position)
Organization:
Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC)
Duty Station:
Dar es Salaam
Type of Contract:
Full Time
Reporting To:
Finance & Administration Manager
Appointing Period:
3 years
Starting Date:
October 2024...
Job type: Full-time
Direct Sales Staff ( Fixed Term – 3 Years ) (300 Position(s))
Job Purpose:
Support in driving retail sales objectives of the bank through day-to-day customer visits and selling bank products and services to new and existing customers, while deepening existing customer...
Job type: Full-time
JOB VACANCY – LABORATORY SUPERVISOR
Title: Laboratory Supervisor
Duration: 12 months (Fixed Term Contract) – Full time position (100%)
Direct Reports: Project Medical Referent.
Location: Nduta Camp and Kibondo (Kigoma Region)
FOR NATIONAL STAFF ONLY...
Vacancy:
Health Volunteer – Receptionist
Ref: 2024-18
Job type: Full-time
Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the preferred provider of accessible specialized health services in Africa. It serves – as a healthcare social enterprise and through...
Job type: Full-time
ABOUT US:
Tanzania Commercial Bank is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products with a vision “to be the leading bank in Tanzania in the provision of affordable, accessible and...
Job type: Full-time
ASSISTANT TREASURY ACCOUNTANT (1 Position(s))
Responsibility:
Perform routine accounting task e.g. posting process, data entry, posting of ledgers and preparation of voucher.
Where assigned cashier duties to ensure all company money is received and receipted and that the...
Job type: Full-time
KAIRUKI UNIVERSITY
VACANCY ADVERTISEMENT
Applications are invited from suitably qualified and experienced Tanzanians to fill the position of Supplies Officer at Kairuki University (KU).
Summary Description:
Responsible for purchase of goods or services that meet the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.