free tundu lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Farhan wa Clouds FM: Wanaomtuhumu Heche, zikija hoja za 'No Reforms, No Election', Free Lissu huwaoni

    Mtangazaji wa Clouds FM, Farhan, ameeleza mtazamo wake kuhusu wimbi la tuhuma zinazomkabili Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, akisema kuwa kuna aina ya watu na hata baadhi ya wanachama wa chama hicho ambao wamekuwa mstari wa mbele ku-comment kwa kudaiwa kula fedha za chama. Hata hivyo...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Said Issa si Mtu maalum, ametumika kudhoofisha kampeni ya Free Lissu, hoja ya Fair election na katiba mpya

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche, amesema; Saidi Issa Mohamed ni mwanachama tu. Sisi tuna wanachama milioni nane. He is not special. Ni mwanachama wa kawaida tu. He is not special! Hata mimi nikitoka kwenye umakamu nitakuwa mwanachama wa kawaida...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mnyika: Barua ya Msajili ni Hila za Kuizuia CHADEMA, Tuendelee na Ajenda ya Katiba Mpya! Free Lissu! Mpaka kieleweke!

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, leo Mei 16, 2026 akiwa Katoro amesema; "Niseme mambo machache mawili tu. Moja, niseme ni kweli tumeandikiwa barua hiyo na msajili wa vyama. Ni mwendelezo wa hila za kutaka kuizuia Chadema kuendelea kuwaunganisha Watanzania...
  4. canular

    JamiiForums Tanzania Rais Samia katudanganya lita 1 ya mafuta ni Tsh 20,472,000 (USD 8,000). Free Tundu Lissu, Tanganyika inahitaji viongozi wenye akili na elimu

    Samia, Kikwete, CCM na makundi yenu yote yanayohusika acheni mara moja dhuluma na kumwachia huru Mheshimiwa Tundu Lissu bila masharti yoyote. Kumuweka kiongozi wa upinzani gerezani kwa muda mrefu bila haki ya wazi na bila ushahidi unaoshikika ni kuvunja misingi ya sheria, katiba, na utu wa...
Back
Top Bottom