Mtangazaji wa Clouds FM, Farhan, ameeleza mtazamo wake kuhusu wimbi la tuhuma zinazomkabili Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, akisema kuwa kuna aina ya watu na hata baadhi ya wanachama wa chama hicho ambao wamekuwa mstari wa mbele ku-comment kwa kudaiwa kula fedha za chama.
Hata hivyo...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche, amesema; Saidi Issa Mohamed ni mwanachama tu. Sisi tuna wanachama milioni nane. He is not special. Ni mwanachama wa kawaida tu.
He is not special! Hata mimi nikitoka kwenye umakamu nitakuwa mwanachama wa kawaida...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, leo Mei 16, 2026 akiwa Katoro amesema;
"Niseme mambo machache mawili tu. Moja, niseme ni kweli tumeandikiwa barua hiyo na msajili wa vyama. Ni mwendelezo wa hila za kutaka kuizuia Chadema kuendelea kuwaunganisha Watanzania...
Samia, Kikwete, CCM na makundi yenu yote yanayohusika acheni mara moja dhuluma na kumwachia huru Mheshimiwa Tundu Lissu bila masharti yoyote. Kumuweka kiongozi wa upinzani gerezani kwa muda mrefu bila haki ya wazi na bila ushahidi unaoshikika ni kuvunja misingi ya sheria, katiba, na utu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.