Gari liko katika hali nzuri, lina AC, Radio, tyres ni mpya,
Model = Raum
Engine type = GF-EXZ10 (HAIJAGUSWA KIVYOVYOTE)
Gari haina dalali, mimi ndio mmiliki wa kwanza
Gari lilinunuliwa moja kwa moja kutoka JAPAN
Engine Capacity 1490
Mwaka wa kutengeneza 2002
Bei ni Tshs 6,000,000/=
Kwa anayehitaji gari aina ya TOYOTA CHASER GX 100, there it is. TSHS. MIL. 4 TU (TSHS. 4,000,000/=)
Kila kitu cha kwenye gari kinafanya kazi ipasavyo.
MAWASILIANO: 0747007131
MAWASILIANO: 0747007131
Locked to Airtel: 50,000
Universal (All Simcards) : 65,000
Brand New
10hrs Battery Life.
Recharge bundles without removing simcard.
Buy all 5 + 3Wingles for 180K
Contact: 0693341234
Habari Jf.
nauza hizi pavement blocks kwa Bei ya Hasara.
viko 500.
vinapatikana vikindu senta.
Nilinunua 25,000 kila kimoja nikatumia vikabaki 500.
vilivyobaki nauza 17,000 kila kimoja.
karibuni sana
Tuwasiliane 0713096076
Samsung galaxy M31
Storage: 128GB
Ram: 6GB
Camera kali mno: 64 megapixel main, 32 megapixel front
Battery: 6000mAh (inakaa na charge mpaka inakera)
Coluor: Dark Blue
Condition: Excelent/Almost New
Bei: 350,000/= fixed
Location: Mwanza Ilemela
Ni ya kwangu mwenyewe ninaitumia, haina magumashi...
Nauza digital blood pressure machine iko katika hali nzuri sana.
Bei sh 140000.00 mazungumzo yako.
Punguza gharama za kwenda kucheck BP kwenye clinic .simu 0712652110
Topcon ipo na vifaa vyake vyote tayari kwa kutumika, ni used japo haijatumika sana kama inavyoonekana kwenye picha
Specifications; overall length 192mm, effective diameter 30mm, magnification 26x24x field of view 1`30`resolving power 3.5'', minimum focus 0.5m, horizontal circle diameter 117mm...
Habari wapendwa,
Nauza simu yangu aina ya Huawei Y7 Prime
Internal GB 64, Ram GB 4, battery capacity 4,000 MAh.
Bado mpya kabisa
Bei yake ni 290k (laki 2 na 90) pamoja na Charger yake
Kama unahitaji piga simu namba 0676258343.
Manufacturer: TOYOTA
Model: IST
Year - 2002
Engine Size: CC 1490
Mileage: 154991
Transmission: Automatic
Colour: Grey
Fuel: Petrol
PRICE / BEI: Tsh.8.8 Mil ( Milioni 8 na laki 8 )
MAWASILIANO :
ᴄᴀʟʟ ı ᴡʜᴀᴛsᴀᴘᴘ ı ѕмѕ: +255658090789
Nauza computer Acer na Hp all in one zipo katika hali nzuri sana.
Acer specifications Ram 8gb, Hdd465
seriously buyer contact 0712652110
Dar Majohe
Price 450000 neg
Nauza Dell desk top Intel core 2 duo,8GB na 320HDD.Zipo zaidi ya kumi ,from a closed office in UK. Ni nzuri safe kwa mtu anaehitaji kufungua computer centre.Seriously buyer only to contact 0712652110 Dar Bei 350000 mazungumzo yako .Huo mzigo sio wa kukosa
New Professional Microphone
For recording
Podcasts
YouTube videos
Video call & video conferencing
Etc.
Delivery : from Dar es salaam to all regions
Offer: 99,000/-
Call: + 255 658 700 510
350,000Tsh
1 year warranty
Full HD
Inasoma flash pamoja na external harddrives
Unaweza ukaifanya kama monitor ya computer
Unapewa na wall bracket ukinunua
Piga/Whatsapp 0753038470
Habari wana jamvi,
Ninauza mbwa aina ya GSD PURE kwa bei rafiki kabisa ya kufungia mwaka.
Tsh 900,000 tu. Ana mwaka mmoja na chanjo zote muhimu kachomwa.
Karibuni sana.
Dar es Salaam- Kigamboni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.