The Forum on China–Africa Cooperation (FOCAC) simplified Chinese: 中非合作论坛; traditional Chinese: 中非合作論壇; pinyin: Zhōng Fēi hézuò lùntán; French: Forum sur la coopération sino-africaine) is an official forum between the People's Republic of China and all states in Africa (with the exception of Eswatini). There have been three summits held to date, with the most recent having occurred from September 3–4, 2018 in Beijing, China. The first summit was held November 2006, also in Beijing.
Baada ya kuwa madarakani kwa miaka sabini na mbili, sasa Chama cha Kikomunisti cha China CPC kinaongoza nchi ya pili kwa nguvu ya uchumi duniani. Kikao cha 6 cha wajumbe wote cha Kamati Kuu ya 19 ya CPC kilichomalizika hivi karibuni, kimejumuisha jinsi kilivyoiongoza China kupata maendeleo ya...
China na nchi za Afrika zimekubaliana kuitisha mkutano wa ngazi ya mawaziri wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC tarehe 29 hadi 30 mwezi huu mjini Dakar, Senegal. Pande hizo zinafikiria kufikia makubaliano ya kuhimiza zaidi maendeleo ya biashara yaliyo na uwiano na uendelevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.