fitna

Fitna (Arabic: فِتْنَة‎) is a 2008 short film by Dutch parliamentarian Geert Wilders. Approximately 17 minutes in length, the film attempts to demonstrate that the Qur'an motivates its followers to hate all who violate Islamic teachings. The movie shows selected excerpts from Suras of the Qur'an, interspersed with media clips and newspaper cuttings showing or describing acts of violence and/or hatred by Muslims.
The film argues that Islam encourages – among other things – acts of terrorism, antisemitism, violence against women, violence and subjugation of infidels and against homosexuals and Islamic universalism. A large part of the film details the influence of Islam on the Netherlands. The film was published on the Internet in 2008. Shortly before its release, its announcement was suspended from its website by the American provider because of the perceived controversy. It stirred a still continuing debate in the Netherlands as well as abroad.The Arabic title-word "fitna" means "disagreement and division among people" or a "test of faith in times of trial".

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Yanga SC jitahidini na famyeni kila fitna ili Simba SC leo isimfunge Kagera Sugar FC 'kwa Mkapa' kwani ikishinda tu Ubingwa mnaukosa na hamtoamini

    Kwa Mkakati ulioko Simba SC anaweza akasababisha Maafa Yanga SC kwa Kuukosa Ubingwa waliodhania ni Wao. Mwambieni Mayele amlipe Mganga wake.
  2. Mwisho wa uswahiba wa Simba na TFF ndio mwanzo wa mataji ya ligi kutua Yanga

    Wanasports salaam. Kwa zaid ya miaka 4 TFF na Simba wamekuwa maswahiba wakubwa hali iliyopelekea minong'ono upande wa Yanga kwamba TFF Soka anaibeba Simba. Baada ya ujio wa GSM mitaa ya Jangwana mambi mengi yamebadilika lakin bado Yanga hawajaweza kupata ubingwa mbele ya Simba. Msimu huu...
  3. Njia ya kibabe kukomesha fitna na majungu

    Katika harakati za kutafuta mkate kumekuwa na fitina nyingi na majungu miongoni mwetu. Sasa katika biashara zangu nikapata bro ambaye kila ikitika jioni anapiga simu kuwasema wenzake mabaya. Nilimvumilia mara ya kwanza tu,mara ya pili nimemuunga conference call (mkutano) na mtu aliyekuwa...
  4. C

    Nugaz anafanyiwa fitna hadi kwenye tuzo

    Juma kahtib a.k.a Nugaz alifanyiwa fitna na msukule hadi akapoteza kazi pale utopoloni lakini cha kushangaza majina ya wahamasishaji bora kwenye tuzo za TFF yametoka lakini Jina la Nugaz halipo kwenye list. Unless ile data ya kwamba mwaka jana utopwenga ndiyo waliongoza kwa kuingiz mashabiki...
  5. N

    Karia na TFF wasipowafanyia fitna Kambole na Djuma Shaban itakuwa balaa sana

    Sisi sote ni mashahidi jinsi wallace karia na TFF walivyokuwa wanawazuia kina yikpe,sarpong na wachezaji kadhaa nyota wa kigeni kufunga magoali na kusababisha wakose magoli ya wazi huku wakiwabeba wachezaji wa kiwango cha kawaida mno kama cham,kagere,luis jose waonekane wana shine. Wana...
  6. Ninakemea uongo, uzushi na fitna kwa Rais Samia. Wote mnaokosoa hamtafanikiwa

    Leo imenibidi niliongee hili ili niae huru kwa maana moyo unauma kuona uongo uzushi chuki na fitna kwa Mama Samia. Ninaona ni kama watu wamejipa ajira ya kudumu ya kukosoa maraisi. Kukosoa sio dhambi Ila inategemea na unachokosoa. Hadi Sasa sijaona kama kuna jambo la kumkosoa Mama Samia...
  7. Fitna kubwa ilianzia hapa!

    Fitna kubwa ilianzia hapa! Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…