fid q

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fid Q aelezea sababu ya Muziki wa Gospel kuondolewa kwenye tuzo

    Akiwa katika Kofia ya Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Fid Q ametolea ufafanuzi suala la kutokuwepo Vipengele vya muziki wa Injini katika Tuzo za Muziki Tanzania TMA akieleza sababu kuu mbili! 1. Aina ya Wadhamini na bidhaa zao ambazo pengine hazifungamani na itikadi za kidini...
  2. Hivi inakuwaje wimbo wa ''Bia Tamu'' izidi nyimbo za akina Fid Q?

    Nawalaumu ma DJ, nakumbuka 2005 hadi 2009 bongo hip hop ilikuwa juu ma dj wali support mnoo,karibia radio zote walikuwa wanapiga hip hop conscious. Pongezi kwa Uncle Sam (RFA) ilikuwa kila ijumaa weekend fever alikuwa anatwanga hip hop za maana, Sheza (Hip hop base EATV), Saigon (Hip hop base...
  3. Sikubaliani na watu wanaoamini Fid Q ni genius

    Humu leo sijui kama patatosha! Nimekuwa nikijaribu kudigest sifa ambazo wadau wengi wamekuwa wakimpatia msanii Fid Q, kwamba ni mtu makini, mwenye upeo wa hali ya juu. Kiukweli nimejitahidi sana kuamini lakini leo acha tu niseme ukweli.. Mwaka jana mwanzoni, huko Marekani alitokea mtoto wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…